syli mchunguzi
Member
- Jul 14, 2021
- 49
- 42
Kuna mwanaetu kapatwa na changamoto kutoka kwa mke wake Kama ujumbe wa unavosomeka hpa chini
Imeokotwa twita mkuuSiamini kama hii ni story ya kweli maana imekaa kistory za facebook zile wale washauri wanatunga tu.
Unaweza kuhisi hivyo ila watu wenye akili za huyo dada wapo wengi sana.Siamini kama hii ni story ya kweli maana imekaa kistory za facebook zile wale washauri wanatunga tu.
Mwanaume hawezi kuwa na stress za mwanamke aliyemzalisha tayari, labda kama mkosaji awe ni mwanaume.Na huo ndio UANAUME.,,, hata kama Demu angekuwa na pesa nyingi,,, still alichofanya jamaa ndio kilitakiwa kufanyika....
The less fucck you give, the more fucck you receive... it's a rule..
Wanaume wote tukiwa hvo,, vifo vya stress vitapungua saaaana.
lolKuna mwanaetu kapatwa na changamoto kutoka kwa mke wake Kama ujumbe wa unavosomeka hpa chiniView attachment 2143513
Huyu mwanamke ndio wanaojiita super, anataka nusu ya mshahara badala ya kutaka kazi ya kufanya, day, atavuna ancho panda.Kuna mwanaetu kapatwa na changamoto kutoka kwa mke wake Kama ujumbe wa unavosomeka hpa chiniView attachment 2143513