Changamoto za ndoa

Changamoto za ndoa

Joined
Jul 14, 2021
Posts
49
Reaction score
42
Kuna mwanaetu kapatwa na changamoto kutoka kwa mke wake Kama ujumbe wa unavosomeka hpa chini
20220308_175435.jpg
 
Siamini kama hii ni story ya kweli maana imekaa kistory za facebook zile wale washauri wanatunga tu.
 
Hamnazo huyu,loh ndo nikute ni mke wa mtoto wangu sijui ntafanyaje🙆.

#mamamkwe
 
Siamini kama hii ni story ya kweli maana imekaa kistory za facebook zile wale washauri wanatunga tu.
Unaweza kuhisi hivyo ila watu wenye akili za huyo dada wapo wengi sana.
Utashangaa sana siku akiwa ni mkeo.
 
Mwambie uyo demu qmmmmmmmk. Yaani mwamba kamfanyia karma anayostahili.
 
Na huo ndio UANAUME.,,, hata kama Demu angekuwa na pesa nyingi,,, still alichofanya jamaa ndio kilitakiwa kufanyika....

The less fucck you give, the more fucck you receive... it's a rule..

Wanaume wote tukiwa hvo,, vifo vya stress vitapungua saaaana.
 
Na huo ndio UANAUME.,,, hata kama Demu angekuwa na pesa nyingi,,, still alichofanya jamaa ndio kilitakiwa kufanyika....

The less fucck you give, the more fucck you receive... it's a rule..

Wanaume wote tukiwa hvo,, vifo vya stress vitapungua saaaana.
Mwanaume hawezi kuwa na stress za mwanamke aliyemzalisha tayari, labda kama mkosaji awe ni mwanaume.
 
Wanawake wa kizazi kipya .hakika huu ni msiba mkubwa
 
Back
Top Bottom