blackb
Member
- Mar 30, 2017
- 99
- 113
Umalaya mbaya jamani
Ndugu hapa kwanza tuelewane simaanishi wanafunzi tuwaache wasome,namaanisha wale waliomaliza form4 wakafeli wengi wao ni 17-20..au darasa la7 wakafeli na huwezi hakuna ...
Nilipitia changamoto nyingi sana wadau
1.wanapenda kutumiana SMS Mara kwa Mara wakati mi nakuwa busy sana ,,ilinibidi nichange mfumo wa maisha ilikuwa ngumu sana .
2.kukutana nao ni mtihani mzito mpaka msumbuane sana
3.wepesi wa kususa jambo dogo tu ishu...
4.unaweza kupanga ishu fresh at the utasikia Leo siji mama amenikatalia kutoka...duu inauma hii...
5.kupeana kadi na maua hapa ilikuwa ngumu kwangu umri huu30+ niende dukani kununua UA kweli? Ila nilienda
6.mkiingia geto lazima muumizane ,makucha ndio sila kubwa kwa awa mabinti,.....
7.sitaki nataka nyingi sana so inahitaji umakini sana
NB: Nashukuru ni mke wangu wa pili kwa sasa haikuwa rahisi,kuwapata inahitaji uvumilivu sana ukiwa na hasira unashindwa mapema asubuhi..
Nipe uzoefu wako mkuu....