Achana na Seran kuna mzigo mpya saizi 2006 mpaka 2008 wameingia sokoni tayariWakuu kwemeni na hamjamboni aisee nimekumbana na changamoto ya namna nzuri ya kutumia Jf
1.Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran
2.Nashindwa kudouble reply
3.Nashindwa kuquote uzi kama afanyavyo Mshana Jr na miamba wengine
Msaada
KUNA NAMBA YA KUCHANGIA NAKUTUMIA ILI UWE MTAALAM WA JFWakuu kwemeni na hamjamboni aisee nimekumbana na changamoto ya namna nzuri ya kutumia Jf
1.Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran
2.Nashindwa kudouble reply
3.Nashindwa kuquote uzi kama afanyavyo Mshana Jr na miamba wengine
Msaada
Usihangaike nae muache tu dunia duara iliHaaaaaaaaaah
NaitakaKUNA NAMBA YA KUCHANGIA NAKUTUMIA ILI UWE MTAALAM WA JF
Hayaee Mobutu JrKwenye kuambatanisha uzi kwenye coment nasubiri majibu cc Maxence Melo na Active
Kwani una waume wangapiShaitani! Ndiomaana sitakagi mme mwenye virafiki vipumbavu!
HuogopiKUNA NAMBA YA KUCHANGIA NAKUTUMIA ILI UWE MTAALAM WA JF
Huyu nae ata alama na nyakati zako haelewi wenzio wako bize kuhangaika na waumini kanisani yeye anahangaika na wewe jFMbwa wewe mpaka huyu bwana umpate🤣
Mimi shindikanaa ananiwezea wapi🤭Huyu nae ata alama na nyakati zako haelewi wenzio wako bize kuhangaika na waumini kanisani yeye anahangaika na wewe jF
Sizitaki mbichi izi jamaa kuweka uzi usikute ndo ukweli wake wa mambo hayo sema ukuta tu uliokuepo baina ya wawiliMimi shindikanaa ananiwezea wapi🤭
Kila mtu apambane na hali yake🤣Sizitaki mbichi izi jamaa kuweka uzi usikute ndo ukweli wake wa mambo hayo sema ukuta tu uliokuepo baina ya wawili
Hutaki kulewa kwa pesa ya sadaka muuminiKila mtu apambane na hali yake🤣
Sitaki laana za watu mimi bora nilewe za wapagani tu!Hutaki kulewa kwa pesa ya sadaka muumini
Sipati picha siku umekula pesa yake atavyokuanzishia uzi hapa atamuharika mpaka bahariaSitaki laana za watu mimi bora nilewe za wapagani tu!
Yule mwamba atanitapikia hatari! Aah staki pesa za kuunga unga😂Sipati picha siku umekula pesa yake atavyokuanzishia uzi hapa atamuharika mpaka baharia
Leo dada=SeranYule mwamba atanitapikia hatari! Aah staki pesa za kuunga unga😂