Changamoto sio kufanya biashara, changamoto ni masoko

Changamoto sio kufanya biashara, changamoto ni masoko

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
2,034
Reaction score
6,768
Kufanya biashara sio issue ngumu sana, wala sio issue nzito issue inakuja moja ni masoko, unaweza kufungua duka la phone and accesories lakini ukakosa wateja, unaweza ukafungua biashara yoyote ile, iwe nafaka au chochote kile, simply ukakosa wateja, watu wanajazana kwa waganga sio kwamba hawana mitaji ila wanajazana kwa waganga kutafuta mvuto wa masoko,

Huwezi kwenda kwa mganga kama huna biashara, lakini ukishakua na biashara lazima uende kwa mganga.

Mfano, fursa za kufanya ziko nyingi sana Tanzania, unaweza kujifunza chochote, ujuzi wowote na ukafanya kujiajiri, lakini kwenye swala la wateja mgogoro ndio unaanza, marketing ni sanaa.

Juzi kati hapa, nimejiingiza kuhusu utengenezaji wa sabuni za kuogea, nzuri zilizochanganywa na Mwani, Marashi n.k bado sina package, mche kipande kikubwa kweli nauza 1000/= lakini ukifikisha sokoni unakutana na bidhaa kama hizo nyingi, unakutana na sabuni za kuogea zenye majina kama imperial, sawa, shanza n.k, na unakuta utokaji wake ni mdogo, ila quality na quantinty ni kubwa na ina harufu nzuri.

PXL_20250527_180349512.MP.jpg


Nishaurini kwenye huu mradi wangu, nifanye nini niwafikie watu wengi zaidi? Pia nataka nianze kutengeneza sabuni za gwanji.

PXL_20250527_171938964.MP.jpg


Package ya namna hii nitaipata wapi hapa Tanzania?
 
Kufanya biashara sio issue ngumu sana, wala sio issue nzito issue inakuja moja ni masoko, unaweza kufungua duka la phone and accesories lakini ukakosa wateja, unaweza ukafungua biashara yoyote ile, iwe nafaka au chochote kile, simply ukakosa wateja, watu wanajazana kwa waganga sio kwamba hawana mitaji ila wanajazana kwa waganga kutafuta mvuto wa masoko,

Huwezi kwenda kwa mganga kama huna biashara, lakini ukishakua na biashara lazima uende kwa mganga.

Mfano, fursa za kufanya ziko nyingi sana Tanzania, unaweza kujifunza chochote, ujuzi wowote na ukafanya kujiajiri, lakini kwenye swala la wateja mgogoro ndio unaanza, marketing ni sanaa.

Juzi kati hapa, nimejiingiza kuhusu utengenezaji wa sabuni za kuogea, nzuri zilizochanganywa na Mwani, Marashi n.k bado sina package, mche kipande kikubwa kweli nauza 1000/= lakini ukifikisha sokoni unakutana na bidhaa kama hizo nyingi, unakutana na sabuni za kuogea zenye majina kama imperial, sawa, shanza n.k, na unakuta utokaji wake ni mdogo, ila quality na quantinty ni kubwa na ina harufu nzuri.

View attachment 3348684

Nishaurini kwenye huu mradi wangu, nifanye nini niwafikie watu wengi zaidi? Pia nataka nianze kutengeneza sabuni za gwanji.

View attachment 3348689

Package ya namna hii nitaipata wapi hapa Tanzania?
Na Ili masoko yapatikane ni lazima Serikali ijenge uwezo wa watu wake kununua.

Sasa katika kufanya hayo nyie mnalazimisha viongozi wenye mawazo ya kijamaa ambao in most cases Huwa wanazalisha maskini wa kuwaabudu badala ya kujenga uwezo wa Wananchi.

Pili bila kupanua WiGo wa kutafuta fursa za masoko Nje ya Nchi itazidi kuwa kazi Bure.
 
Na Ili masoko yapatikane ni lazima Serikali ijenge uwezo wa watu wake kununua.

Sasa katika kufanya hayo nyie mnalazimisha viongozi wenye mawazo ya kijamaa ambao in most cases Huwa wanazalisha maskini wa kuwaabudu badala ya kujenga uwezo wa Wananchi.

Pili bila kupanua WiGo wa kutafuta fursa za masoko Nje ya Nchi itazidi kuwa kazi Bure.

Ujamaa unakuaje katika hii mada ?
 
Na Ili masoko yapatikane ni lazima Serikali ijenge uwezo wa watu wake kununua.

Sasa katika kufanya hayo nyie mnalazimisha viongozi wenye mawazo ya kijamaa ambao in most cases Huwa wanazalisha maskini wa kuwaabudu badala ya kujenga uwezo wa Wananchi.

Pili bila kupanua WiGo wa kutafuta fursa za masoko Nje ya Nchi itazidi kuwa kazi Bure.
Mimi kinachonishangaza ni kimoja, malighafi zote za utengenezaji wa sabuni zipo hapa Tanzania, lakini diamond anajisifu kuingiza contena 30 za sabuni na kuziuza ndani ya week, hapa sabuni nyingi za kuogea zimetokea kenya, inawezekanaje hii?
 
Na Ili masoko yapatikane ni lazima Serikali ijenge uwezo wa watu wake kununua.

Sasa katika kufanya hayo nyie mnalazimisha viongozi wenye mawazo ya kijamaa ambao in most cases Huwa wanazalisha maskini wa kuwaabudu badala ya kujenga uwezo wa Wananchi.

Pili bila kupanua WiGo wa kutafuta fursa za masoko Nje ya Nchi itazidi kuwa kazi Bure.


Mimi kwanza nakupongeza Ila Kama unaweza Tafuta sales man ambaye mtashirikiana kutafuta wateja nchi nzima .


Mfano ukiachana kuuza madukani Ila pia kuna soko katika Nyumba za wageni ambao hununua Sana sabuni kwa ajili ya huduma zao.


Waweza kufatili hilo soko katika Mahotel, guests na Lodge.

Kwenye hotel ukifika mtafute MTU wa ugavi ongea nae in business language.

Pia mitandaoni .

Na kubwa kuliko yote watu ukiachilia Kununua sabuni zenye harufu nzuri Ila kuna haya mambo .


Upele
Miwasho sehemu za siri
Kulanisha ngozi na kuifanya ngozi kuwa katika hali nzuri

Kuondoa chunusi

Katika kufanya marketing tumia hayo maeneno .

So ikiwa utapata shida utatwambia .hapa
 
Na Ili masoko yapatikane ni lazima Serikali ijenge uwezo wa watu wake kununua.

Sasa katika kufanya hayo nyie mnalazimisha viongozi wenye mawazo ya kijamaa ambao in most cases Huwa wanazalisha maskini wa kuwaabudu badala ya kujenga uwezo wa Wananchi.

Pili bila kupanua WiGo wa kutafuta fursa za masoko Nje ya Nchi itazidi kuwa kazi Bure.
Wewe takataka huwa ni kiazi fulani mbatata
 
Katika soko huria hakikisha bidhaa yako inakuwa tofauti katika viwango pamoja na ubora ukilinganisha na bidhaa nyingine.

Mfano ulitakiwa kabla ya kutengeneza sabuni ujiulize maswali kadhaa kuhusu bidhaa yako ukilinganisha na bidhaa zilizopo. Pia uangalie mapungufu ya bidhaa zilizopo ili uyatumie kuboresha bidhaa unayotarajia kuzalisha na kuingiza sokoni.

Ukiamua kuwa mzalishaji/mtengenezaji lazima utengeneze mnyororo ambao bidhaa zako zitapitia. Ni ngumu sana kuwa mzalishaji wakati huo huo unataka kuuza wewe, lazima kuwe na mfumo ambao ukishazalisha kunakuwa na wasambazaji, wanunuzi wa jumla na wanunuzi wa rejareja.

Mfano kama unatengeneza sabuni kwa kutumia malighafi na inakamilika kwa gharama ya shilingi 400 na hii sabuni hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho ni shilingi 1200, badala ya wewe kuangaika na masoko unaweza ukauza kwa bei ya jumla shilingi 800. Hapo itakusaidia na kurahisisha kuwapa fursa wengine waweze kuipeleka sokoni na bidhaa kumfikia mtumiaji wa mwisho.

Hiyo ni njia mojawapo inayoweza kukusaidia bidhaa yako ikaingia sokoni na kufanikusha mauzo.
 
Katika soko huria hakikisha bidhaa yako inakuwa tofauti katika viwango pamoja na ubora ukilinganisha na bidhaa nyingine.

Mfano ulitakiwa kabla ya kutengeneza sabuni ujiulize maswali kadhaa kuhusu bidhaa yako ukilinganisha na bidhaa zilizopo. Pia uangalie mapungufu ya bidhaa zilizopo ili uyatumie kuboresha bidhaa unayotarajia kuzalisha na kuingiza sokoni.

Ukiamua kuwa mzalishaji/mtengenezaji lazima utengeneze mnyororo ambao bidhaa zako zitapitia. Ni ngumu sana kuwa mzalishaji wakati huo huo unataka kuuza wewe, lazima kuwe na mfumo ambao ukishazalisha kunakuwa na wasambazaji, wanunuzi wa jumla na wanunuzi wa rejareja.

Mfano kama unatengeneza sabuni kwa kutumia malighafi na inakamilika kwa gharama ya shilingi 400 na hii sabuni hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho ni shilingi 1200, badala ya wewe kuangaika na masoko unaweza ukauza kwa bei ya jumla shilingi 800. Hapo itakusaidia na kurahisisha kuwapa fursa wengine waweze kuipeleka sokoni na bidhaa kumfikia mtumiaji wa mwisho.

Hiyo ni njia mojawapo inayoweza kukusaidia bidhaa yako ikaingia sokoni na kufanikusha mauzo.
Nzuri hii mzee.
 
Katika soko huria hakikisha bidhaa yako inakuwa tofauti katika viwango pamoja na ubora ukilinganisha na bidhaa nyingine.

Mfano ulitakiwa kabla ya kutengeneza sabuni ujiulize maswali kadhaa kuhusu bidhaa yako ukilinganisha na bidhaa zilizopo. Pia uangalie mapungufu ya bidhaa zilizopo ili uyatumie kuboresha bidhaa unayotarajia kuzalisha na kuingiza sokoni.

Ukiamua kuwa mzalishaji/mtengenezaji lazima utengeneze mnyororo ambao bidhaa zako zitapitia. Ni ngumu sana kuwa mzalishaji wakati huo huo unataka kuuza wewe, lazima kuwe na mfumo ambao ukishazalisha kunakuwa na wasambazaji, wanunuzi wa jumla na wanunuzi wa rejareja.

Mfano kama unatengeneza sabuni kwa kutumia malighafi na inakamilika kwa gharama ya shilingi 400 na hii sabuni hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho ni shilingi 1200, badala ya wewe kuangaika na masoko unaweza ukauza kwa bei ya jumla shilingi 800. Hapo itakusaidia na kurahisisha kuwapa fursa wengine waweze kuipeleka sokoni na bidhaa kumfikia mtumiaji wa mwisho.

Hiyo ni njia mojawapo inayoweza kukusaidia bidhaa yako ikaingia sokoni na kufanikusha mauzo.
Nailed 📌📌
 
Kufanya biashara sio issue ngumu sana, wala sio issue nzito issue inakuja moja ni masoko, unaweza kufungua duka la phone and accesories lakini ukakosa wateja, unaweza ukafungua biashara yoyote ile, iwe nafaka au chochote kile, simply ukakosa wateja, watu wanajazana kwa waganga sio kwamba hawana mitaji ila wanajazana kwa waganga kutafuta mvuto wa masoko,

Huwezi kwenda kwa mganga kama huna biashara, lakini ukishakua na biashara lazima uende kwa mganga.

Mfano, fursa za kufanya ziko nyingi sana Tanzania, unaweza kujifunza chochote, ujuzi wowote na ukafanya kujiajiri, lakini kwenye swala la wateja mgogoro ndio unaanza, marketing ni sanaa.

Juzi kati hapa, nimejiingiza kuhusu utengenezaji wa sabuni za kuogea, nzuri zilizochanganywa na Mwani, Marashi n.k bado sina package, mche kipande kikubwa kweli nauza 1000/= lakini ukifikisha sokoni unakutana na bidhaa kama hizo nyingi, unakutana na sabuni za kuogea zenye majina kama imperial, sawa, shanza n.k, na unakuta utokaji wake ni mdogo, ila quality na quantinty ni kubwa na ina harufu nzuri.

View attachment 3348684

Nishaurini kwenye huu mradi wangu, nifanye nini niwafikie watu wengi zaidi? Pia nataka nianze kutengeneza sabuni za gwanji.

View attachment 3348689

Package ya namna hii nitaipata wapi hapa Tanzania?
Soko ni utafitii jifunze kuhusu Data mining..
 
Back
Top Bottom