zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,221
Habari Wanajamvi? Poleni na pilika pilika za kila siku.
Jamani embu turudi hapa nyumbani tujadiri kwa kina usalama wa yale maeneo yenye mlundikano wa watu wengi JE USALAMA upo wa maeneo hayo.....???
Nikifikiria ujio wa hawa wahamiaji haramu ambao wengi wao hatujui nia zao za kuingia kimya kimya sidhani kama nchi hii itakuwa salama huko tuendako.
Kuna ambayo huwa nafikiria sana usalama wao hasa M/city,Mwenge,Posta,Kariakoo haya maeneo yenye biashara nyingi hayako salama hata kidogo.Ni watanzania kumwomba Mungu aepushie mbali majanga hayo yasitukute tu.Lakini si kwa udhaifu wa ulinzi na uzembe wa watendaji wa nchi hii ambao wachache wao n hushirikiana nao katika kuhakikisha wanapata hati halali za kuishi humu ndani bila kujua nia zao....
Tukae macho sasa kila kona,serikali isambaze watu wake mpaka kwa mama ntilie ndio tutakuwa na ka usalama kidogo...lakini si kwa hivi tuishivyo.
Jamani embu turudi hapa nyumbani tujadiri kwa kina usalama wa yale maeneo yenye mlundikano wa watu wengi JE USALAMA upo wa maeneo hayo.....???
Nikifikiria ujio wa hawa wahamiaji haramu ambao wengi wao hatujui nia zao za kuingia kimya kimya sidhani kama nchi hii itakuwa salama huko tuendako.
Kuna ambayo huwa nafikiria sana usalama wao hasa M/city,Mwenge,Posta,Kariakoo haya maeneo yenye biashara nyingi hayako salama hata kidogo.Ni watanzania kumwomba Mungu aepushie mbali majanga hayo yasitukute tu.Lakini si kwa udhaifu wa ulinzi na uzembe wa watendaji wa nchi hii ambao wachache wao n hushirikiana nao katika kuhakikisha wanapata hati halali za kuishi humu ndani bila kujua nia zao....
Tukae macho sasa kila kona,serikali isambaze watu wake mpaka kwa mama ntilie ndio tutakuwa na ka usalama kidogo...lakini si kwa hivi tuishivyo.