Changamoto nayopitia bank ya FNB


Equity unatumia app

Unavuta na kuweka pesa popote
 
Kwa wale wachakarikaji wanaowekewa miamala na wadau wao wa bushi? Ma Makere, Manyovu, kazuramimba huko? Aiseee kule ni zile banki 3 tu wadau ndio wanazijua, wanaofanya biashara kama za nafaka watakuwa wanaelewa changamoto hii.

Anahamisha kutoka kwenye M-pesa

Binafsi nadeposit kutoka kwenye M-pesa kwenda Equity, hamna mambo ya foleni wala safari Za kwenda bank
 
Mrejesho:kwanza kabisa napenda kutoa Shukrani zangu za dhati kabisa kwa wale walioguswa na hili jambo langu kwa kunipa ushauri na namna ya kufanya kama juhudi zikigonga mwamba!
Pia wapo waliotoa maneno ya kejeli n.k,ukweli ni kwamba nilikuwa kwenye kipindi kigumu sana kwa siku hizo 8 kujua hatma ya pesa yangu maana ni pesa niliyokuwa nategemea kwa mambo mengi zije ziyeyuke kizembe namna hii!
Hatimaye tatizo langu limetatuliwa nimetoa pesa zangu na amani imerejea upya inshaallah [emoji120]
 
Huu ushauri unaompa ni wa muda mrefu! Huyu mdau anataka ushauri wa nini kifanyike ili akaunti yake ifunguliwe, sasa ataondoaje kila kilicho chake wakati akaunti imefungwa?
 
Nimejaribu kupiga simu huduma kwa wateja wanasema ombi langu wanalishughulikia hadi nimechoka wakuu!
Msaada wakuu nina ninachotakiwa kufanya maana mipango yangu imesimama huku nikiteseka na pesa zangu mwenyewe!
Usiishie kuongea tu na hawa umbwa wa kwenye kaunta ingia kwa meneja ueleze shida yako. Kuwa serious usicheke nao maana hiyo ni haki yako!
 
Kitambulisho tu cha taifa unafungua account
 
Hii ni last option mkuu,maana ukienda huko bank inapigwa faini kubwa sana
Yes i know...na fine ni one million kwa kila siku tangu issue imerepotiwa bila kufanyiwa kazi.so kama issue ipo pending for 30 days..basi itakua ni 30*1000,000 so total ni 30,000,000m.. therefore wwkipigwa fine ndo adabu itakuja na hiyo option yakwenda BOT ni last option baada ya hizi jitihada zake za kuhangaika na Exim bank(fnb acquirer) kugonga mwamba. Na anataikiwa a lodge official complaint kwenda bank husika na a baki na copy yake ya complain lodgement na agongewe muhuri wakuonesha complain yake ilikua received.
 
Barclays
Wana service nzuri Jamani

Ila Equity sihami
Mwaka wa 5 Equity Bank Tz sijawahi kupata shida yoyote zaidi ya max withdrawal amount kufika Branch yao ilikuwa solved ndani ya dk 5 nikasepa

Tawini naenda kufanya miamala tu Hawa wakenya Technology yao sio ya kitoto

NMB ninayo kupokea miamala ya watu tu na pesa za ndogo za matumizi, CRDB washenzi wakubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…