CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

CHANGAMOTO KWENYE PC YANGU NIKITAKA KUWEKA DRIVERS MPYA

Exformer

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2018
Posts
856
Reaction score
989
Habari zenu wakuu na wapenzi wa Tecnolojia.
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hilo hapo pichani, ninatumia program kadhaa za kufungua mitandao kwenye simu,Bypass FRP na kadhalika
Changamoto kuu ni pale ninapohitaji kuweka drivers kama Qualicom na MTK Vcom Drivers huwa hazikai kabsa kwenye Pc yangu.
Nimejaribu kila mbinu huko youtube ikiwemo kuzima Driver signature, kuinstall compatible driver ila bado nimeshindwa kuziweka kwenye PC kwa ajili ya matumizi yangu.
Picha inaonesha device manager >COM ports> qualicom driver yenye yellow color ambayo inaonesha kina shida ya utendaji kazi wa hiyo driver.

WATAAALAMU MNISAIDIE.
 

Attachments

  • 20250703_205648.jpg
    20250703_205648.jpg
    841.8 KB · Views: 26
Habari zenu wakuu na wapenzi wa Tecnolojia.
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hilo hapo pichani, ninatumia program kadhaa za kufungua mitandao kwenye simu,Bypass FRP na kadhalika
Changamoto kuu ni pale ninapohitaji kuweka drivers kama Qualicom na MTK Vcom Drivers huwa hazikai kabsa kwenye Pc yangu.
Nimejaribu kila mbinu huko youtube ikiwemo kuzima Driver signature, kuinstall compatible driver ila bado nimeshindwa kuziweka kwenye PC kwa ajili ya matumizi yangu.
Picha inaonesha device manager >COM ports> qualicom driver yenye yellow color ambayo inaonesha kina shida ya utendaji kazi wa hiyo driver.

WATAAALAMU MNISAIDIE.
Shortcut, dual boot windows ya kawaida na windows 7, kwenye win 7 huhitaji workaround.

Njia ndefu inategemea na Windows yako, unatumia machine gani na windows ngap
 
Shortcut, dual boot windows ya kawaida na windows 7, kwenye win 7 huhitaji workaround.

Njia ndefu inategemea na Windows yako, unatumia machine gani na windows ngap
Natumia Hp elitebook 840 G3 i5
Window 10 pro updated
 

Attachments

  • 20250705_170524.jpg
    20250705_170524.jpg
    306 KB · Views: 24
Natumia Hp elitebook 840 G3 i5
Window 10 pro updated
Naona Hovatek wana claim kuna driver mpya ambayo haina haja ya kudisable signature hapa

Jaribu njia hio mkuu.
 
Naona Hovatek wana claim kuna driver mpya ambayo haina haja ya kudisable signature hapa

Jaribu njia hio mkuu.
Vipi kwa qualicom drivers?? Nateseka sana
Na je, window 10 inaweza kuwa tatiz?
 
Naona Hovatek wana claim kuna driver mpya ambayo haina haja ya kudisable signature hapa

Jaribu njia hio mkuu.
Kakq nimewaelewa sana has hapo kweny error Code 10 dah wamenisanua jambo kubwa mnoo aseee
 
Vipi kwa qualicom drivers?? Nateseka sana
Na je, window 10 inaweza kuwa tatiz?
Tutorial kwa same forum

Sema kwa ufahamu wangu Driver ya Qualcomm haizingui sana, double check tu step zake
 
Tutorial kwa same forum

Sema kwa ufahamu wangu Driver ya Qualcomm haizingui sana, double check tu step zake
shukran sana kaka nilikuwa naihofia sana ile code 10 lakin kumba haina shida sna ngoja nipakue upya mtk
 
Hata mimi nilipata hilo tatizo ila kumbe haikuwa shida nilipoweka tu device ili detect na ikafanya kazi fresh tu.kuna tool moja inaitwa chimera donwload intall alafu ifungue pale utaona drivers ambazo zipo installed tayari na ambaz bado, spd drivers hiz kidg ndo zinasumbua
 
Hata mimi nilipata hilo tatizo ila kumbe haikuwa shida nilipoweka tu device ili detect na ikafanya kazi fresh tu.kuna tool moja inaitwa chimera donwload intall alafu ifungue pale utaona drivers ambazo zipo installed tayari na ambaz bado, spd drivers hiz kidg ndo zinasumbua
ahsante kwa kuniongezea hili mkuu
 
Back
Top Bottom