Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Hivi katika majeshi yetu haya ya leo,kuna watu wa kuaminika kutumika kama CDF na IGP katika serikali itayoongozwa na UKAWA endapo mgombea kutoka vyama vinavyounda UKAWA atafanikiwa kuwa raisi wa nchi hii?
Kwa maneno mengine,vigogo katika majeshi yetu haya ya leo wanaonyesha utayari wowote kuwa chini ya Amiri Jeshi Mkuu kutoka upinzani?
Hili jambo ukilitizama kwa mapana na marefu,utagungua si jambo la kulipuuza hata kidogo.
Kwa maneno mengine,vigogo katika majeshi yetu haya ya leo wanaonyesha utayari wowote kuwa chini ya Amiri Jeshi Mkuu kutoka upinzani?
Hili jambo ukilitizama kwa mapana na marefu,utagungua si jambo la kulipuuza hata kidogo.