Changamoto katika utumiaji wa mfumo wa TANePS

Changamoto katika utumiaji wa mfumo wa TANePS

Ujinga flani hivi na rushwa tuu wanafitiana hapo GPSA ili waingie kwenye tender boards wale vzr na mkurugenzii. Hii nchi ina vijana wa ovyo
 
sasa kwanini wakishafanya hiyo michakato hawakupi mrejesho kwanini hukutunukiwa? au wewe unaona kawaida tu. Kuna mkataba kama umeandika bei ya chini ukashindwa kusambaza si unalipia hasara

Huu mfumo umetengenezwa na binadamu na kwa matumizi ya binadamu. Hapa inabidi uelewe tu kuwa kuna mapungufu, na watu watatumia hayo mapungufu ya mfumo ili kupitisha mambo yao.

Shida kubwa ambayo PPRA wameshindwa kuitatua, ni kuufanyia mafunzo mapana huu mfumo. Hata zile video za training huwa hazijibu maswali basic kama hayo.

Ninakushauri, siku nyingine ukiomba tender, uwe na kawaida ya kuulizia imekuwaje ili kuweza kujua mrejesho na nini uboreshe katika uombaji.
 
Back
Top Bottom