Changamoto katika utumiaji wa mfumo wa TANePS

Changamoto katika utumiaji wa mfumo wa TANePS

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,439
Reaction score
5,750
TANEPS ni mfumo ambao Serikali na mashirika mengine ya Umma wanautumia Kutangaza Tender Mbalimbali kwa kutumia mfumo wa manunuzi wa serikali NA Sheria ya manunuzi ya serikali kwenye huduma mbalimbali

Mfumo huu Mara nyingi wanapotangaza tender wanatuma Email kwa wale wote ambao wamesajiliwa kwenye huo Mfumo, Ila Cha kushangaza Tender ikishafunguliwa maana inafunguliwa Online moja kwa moja huwa hawatumi Email tena kuwajulisha kwamba ni nani ameshinda Hiyo tender, Japo wana Option ya Bid Open Details unaweza kuona tu waliomba wangapi na nani ame bid value ya Chini sana na nani ane bid ya Juu lakini hauwezi kuja Kuambiwa ni nani amekuwa awarded na hiyo tender.

Kuna Kampuni moja hivi niliwahi kufanyia kazi Tuliwahi kuomba tender kibao tu na nyingi tulikuwa sisi ndio tuna bid ya chini kabis alakini hatukuwahi kupewa hizo tender wala hawajahi kutuambia ni nani alipewa na sisi kama tulikataliwa ni kwa vigezo gani wakati vigezo vyote tulikuwa tunavyo

Hivi hii Husababishwa na nini? Au ndio kuendeleza Rushwa? Inawezekana Kuna mchezo mchafu unafanywa
 
Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kushinda Tender!!!

Labda kosa ni wewe kutokupewa mrejesho Kwanini umeshindwa maana Sheria inataka ujulishwe matokeo ya mchujo huo na sababu za wewe kushindwa!

Lakini kuna jambo moja unatakiwa ujihakikishie kuna kipindi waombaji wa tender kwenye mfumo hawakamilishi hatua zote sasa hapa tender yako haiwezi kufika na ikafanyiwa kazi, Pili kuna wengine wanatuma Documents katika format isiyotakiwa matokeo yake wakati wa ufunguzi inaonekana imekuwa infected na Virus so umakini unatakiwa kuanzia kwako kabla ya kulaumu mfumo.
 
Japo Sikatai Kwamba mfumo bado unamapungufu yake.


Lakini kwa kuanza fanyia kazi hili
Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kushinda Tender!!!


Labda kosa ni wewe kutokupewa mrejesho Kwanini umeshindwa maana Sheria inataka ujulishwe matokeo ya mchujo huo na sababu za wewe kushindwa!


Lakini kuna jambo moja unatakiwa ujihakikishie kuna kipindi waombaji wa tender kwenye mfumo hawakamilishi hatua zote sasa hapa tender yako haiwezi kufika na ikafanyiwa kazi, Pili kuna wengine wanatuma Documents katika format isiyotakiwa matokeo yake wakati wa ufunguzi inaonekana imekuwa infected na Virus so umakini unatakiwa kuanzia kwako kabla ya kulaumu mfumo.
 
TANEPS ni mfumo ambao Serikali na mashirika mengine ya Umma wanautumia Kutangaza Tender Mbalimbali kwa kutumia mfumo wa manunuzi wa serikali NA Sheria ya manunuzi ya serikali kwenye huduma mbalimbali

Mfumo huu Mara nyingi wanapotangaza tender wanatuma Email kwa wale wote ambao wamesajiliwa kwenye huo Mfumo, Ila Cha kushangaza Tender ikishafunguliwa maana inafunguliwa Online moja kwa moja huwa hawatumi Email tena kuwajulisha kwamba ni nani ameshinda Hiyo tender, Japo wana Option ya Bid Open Details unaweza kuona tu waliomba wangapi na nani ame bid value ya Chini sana na nani ane bid ya Juu lakini hauwezi kuja Kuambiwa ni nani amekuwa awarded na hiyo tender.

Kuna Kampuni moja hivi niliwahi kufanyia kazi Tuliwahi kuomba tender kibao tu na nyingi tulikuwa sisi ndio tuna bid ya chini kabis alakini hatukuwahi kupewa hizo tender wala hawajahi kutuambia ni nani alipewa na sisi kama tulikataliwa ni kwa vigezo gani wakati vigezo vyote tulikuwa tunavyo

Hivi hii Husababishwa na nini? Au ndio kuendeleza Rushwa? Inawezekana Kuna mchezo mchafu unafanywa

Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kupata kazi..
Katika evaluation za tender kuna kitu kinaitwa “lowest evaluated bidder”
Hii haimaanishi yule wa bei ya chini kabisa ndie apewe kazi.

Bado kamati ya upembuzi wa tender inapitia hizo bei zako na kuona uhalisia ili kupunguza matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari..
Mfano.: wote tunajua bei ya petroli sasahivi ni tshs 3000 kwa lita.
Sasa ujaze tenda yako kuwa uta supply lita moja kwa 1800 hivi unategemea upewe hiyo kazi???
Au tuseme uta supply mfuko wa cement kwa 5000?

Nadhani maana halisi ni hiyo!
 
Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kushinda Tender!!!

Labda kosa ni wewe kutokupewa mrejesho Kwanini umeshindwa maana Sheria inataka ujulishwe matokeo ya mchujo huo na sababu za wewe kushindwa!

Lakini kuna jambo moja unatakiwa ujihakikishie kuna kipindi waombaji wa tender kwenye mfumo hawakamilishi hatua zote sasa hapa tender yako haiwezi kufika na ikafanyiwa kazi, Pili kuna wengine wanatuma Documents katika format isiyotakiwa matokeo yake wakati wa ufunguzi inaonekana imekuwa infected na Virus so umakini unatakiwa kuanzia kwako kabla ya kulaumu mfumo.
Mkuu ni kama nimekuelewa, ila jamaa anasema kwmaba hawajaulishwi sababu za kunyimwa na hivi inakuaje sasa documents hujazituma vizuri alafu wakati wa kufungua tender kampuni yako ionekane?? Vipi na ikiwa ume omba tender mwenyewe hivi sheria iansemaje
 
Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kupata kazi..
Katika evaluation za tender kuna kitu kinaitwa “lowest evaluated bidder”
Hii haimaanishi yule wa bei ya chini kabisa ndie apewe kazi.

Bado kamati ya upembuzi wa tender inapitia hizo bei zako na kuona uhalisia ili kupunguza matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari..
Mfano.: wote tunajua bei ya petroli sasahivi ni tshs 3000 kwa lita.
Sasa ujaze tenda yako kuwa uta supply lita moja kwa 1800 hivi unategemea upewe hiyo kazi???
Au tuseme uta supply mfuko wa cement kwa 5000?

Nadhani maana halisi ni hiyo!
sasa kwanini wakishafanya hiyo michakato hawakupi mrejesho kwanini hukutunukiwa? au wewe unaona kawaida tu. Kuna mkataba kama umeandika bei ya chini ukashindwa kusambaza si unalipia hasara
 
Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kupata kazi..
Katika evaluation za tender kuna kitu kinaitwa “lowest evaluated bidder”
Hii haimaanishi yule wa bei ya chini kabisa ndie apewe kazi.

Bado kamati ya upembuzi wa tender inapitia hizo bei zako na kuona uhalisia ili kupunguza matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari..
Mfano.: wote tunajua bei ya petroli sasahivi ni tshs 3000 kwa lita.
Sasa ujaze tenda yako kuwa uta supply lita moja kwa 1800 hivi unategemea upewe hiyo kazi???
Au tuseme uta supply mfuko wa cement kwa 5000?

Nadhani maana halisi ni hiyo!
Kweli Mkuu, mwisho wa siku mwenye final decision ni Procuring Entity yenyewe
 
Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kushinda Tender!!!

Labda kosa ni wewe kutokupewa mrejesho Kwanini umeshindwa maana Sheria inataka ujulishwe matokeo ya mchujo huo na sababu za wewe kushindwa!

Lakini kuna jambo moja unatakiwa ujihakikishie kuna kipindi waombaji wa tender kwenye mfumo hawakamilishi hatua zote sasa hapa tender yako haiwezi kufika na ikafanyiwa kazi, Pili kuna wengine wanatuma Documents katika format isiyotakiwa matokeo yake wakati wa ufunguzi inaonekana imekuwa infected na Virus so umakini unatakiwa kuanzia kwako kabla ya kulaumu mfumo.
Kivipi Mkuu maana hadi Detail zako zionekane pale na bei ionekane? pli hili la Kusema kwamba hukamilishi hatua zote inakuaje maana ukikamilisha inakuandikia kabisa 100% shida inakua ni nini hapo
 
Kweli Mkuu, mwisho wa siku mwenye final decision ni Procuring Entity yenyewe
sasa kama ndio mwenye maamuzi ya mwisho si ndio kurudi kule kule kwenye Rushwa maana anamchagua anyemtka na sio mwenye sifa
 
Kwani katika wanaochaguliwa, wewe umethibitisha kwamba hawana sifa?
unathibitisha vipi wakati huo mchakato unafanyika kwa siri bila kuwajulisha supplier wengine mwenzao amechaguliwa kwa kigezo gani
 
Kuna vigezo Vingi jaribu kuwa makini unapoandaa bid yako . Attach relevant documents unazotakiwa kuattach
Mara nyingine mtu anaweza kuonekana ana bei kubwa kwenye mfumo lkn wakati WA tatmini akaonekana ana bei ndogo.
Otherwise karibu pm kwa ushauri
 
Wazabuni wote walioshiriki wanatakiwa kujulishwa; aliyeshinda, ameshinda kwa kiasi gani, na aliyeshindwa, ameshindwa kwa sababu zipi.
Inawezekana kutokujulishwa kwenu, inatokana na uzembe wa taasisi nunuzi katika kutumia mfumo.
Pia katika 'evaluation' ya zabuni inaangalia vitu vikuu vitatu:-
  • Eligibility ( ukishinda hapa, utaenda hatua inayofuata/ ukishindwa, hautaenda hatua inayofuata)
  • Technical (baada ya kushinda hatua ya kwanza, utakuja hatua hii; ukifanikiwa kwenye hii hatua utaenda hatua inayofuata/ ukishindwa, utaishia hapa hapa)
  • Financial ( hii ni hatua ya mwisho ya kuangalia bei uliyoweka, pamoja na kuringanisha bei na wengine, kama umevuka hatua zote vizuri , utafikia hatua hii; na mwenye bei ya chini mfumo utampa ushindi)
Kwa hiyo kuwa na bei ndogo, huku hatua za mwanzo hukufanikiwa kupita; huwezi kuwa mshindi.
 
Mkuu ni kama nimekuelewa, ila jamaa anasema kwmaba hawajaulishwi sababu za kunyimwa na hivi inakuaje sasa documents hujazituma vizuri alafu wakati wa kufungua tender kampuni yako ionekane?? Vipi na ikiwa ume omba tender mwenyewe hivi sheria iansemaje
Samahani kwa kuchelewa kukujibu Mkuu!!!


Kisheria tender yoyote hasa hizi za sheria ya PPRA iwe ya Goods,Works au Consultancy, Bidder yeyote aliyeomba kazi ikitokea ameshindwa kwenye kinyang’anyiro ni sharti ajulishwe kuwa Tender number ..,,,, ya kitu fulani hajafanikiwa kupata kwa sababu ……!!!

Barua huitwa Notification/intention to award….. katika barua hii huwa unatolewa muda nadhani haupunguwi siku saba ili kama una malalamiko ujibu ndani ya siku hizo!


Hizi communications kwasasa zinafanyika nje ya mfumo wa TANePS kwahiyo Clients ndio watalazimika kukutumia barua husika na wewe utarespond kwao nje ya mfumo!!!

TANePS inaishia tu kwenye ku upload documents zako Evaluation na award( baada ya mawasiliano na kumaliza muda wa matazamio Yaani siku saba takes hapo juu)


Kama mtu aliomba kazi na hakupata mtejesho ni Aidha kuna uzembe kwenye Taasisi husika aliyoomba kazi au Documents zake hazijafika!!!


Kingine pia kuna kipindi attachments za Bidders hazifunguki au zinakuwa corrupted( kutokana na Bidders kutoweka docs ktk format inayotakiwa-Hapa unajikuta huwezi kuwa evaluated )
 
Kivipi Mkuu maana hadi Detail zako zionekane pale na bei ionekane? pli hili la Kusema kwamba hukamilishi hatua zote inakuaje maana ukikamilisha inakuandikia kabisa 100% shida inakua ni nini hapo
Samahani kwa kuchelewa kukujibu Mkuu!!!


Kisheria tender yoyote hasa hizi za sheria ya PPRA iwe ya Goods,Works au Consultancy, Bidder yeyote aliyeomba kazi ikitokea ameshindwa kwenye kinyang’anyiro ni sharti ajulishwe kuwa Tender number ..,,,, ya kitu fulani hajafanikiwa kupata kwa sababu ……!!!

Barua huitwa Notification/intention to award….. katika barua hii huwa unatolewa muda nadhani haupunguwi siku saba ili kama una malalamiko ujibu ndani ya siku hizo!


Hizi communications kwasasa zinafanyika nje ya mfumo wa TANePS kwahiyo Clients ndio watalazimika kukutumia barua husika na wewe utarespond kwao nje ya mfumo!!!

TANePS inaishia tu kwenye ku upload documents zako Evaluation na award( baada ya mawasiliano na kumaliza muda wa matazamio Yaani siku saba takes hapo juu)


Kama mtu aliomba kazi na hakupata mtejesho ni Aidha kuna uzembe kwenye Taasisi husika aliyoomba kazi au Documents zake hazijafika!!!


Kingine pia kuna kipindi attachments za Bidders hazifunguki au zinakuwa corrupted( kutokana na Bidders kutoweka docs ktk format inayotakiwa-Hapa unajikuta huwezi kuwa evaluated )
 
Nah
Kuna vigezo Vingi jaribu kuwa makini unapoandaa bid yako . Attach relevant documents unazotakiwa kuattach
Mara nyingine mtu anaweza kuonekana ana bei kubwa kwenye mfumo lkn wakati WA tatmini akaonekana ana bei ndogo.
Otherwise karibu pm kwa ushauri
Nadhani hujamwelewa mleta mada, anasema kwanini hapewi mrejesho wa kile alichoomba? Kupata sio lazima hilo naye analijua.
 
Samahani kwa kuchelewa kukujibu Mkuu!!!


Kisheria tender yoyote hasa hizi za sheria ya PPRA iwe ya Goods,Works au Consultancy, Bidder yeyote aliyeomba kazi ikitokea ameshindwa kwenye kinyang’anyiro ni sharti ajulishwe kuwa Tender number ..,,,, ya kitu fulani hajafanikiwa kupata kwa sababu ……!!!

Barua huitwa Notification/intention to award….. katika barua hii huwa unatolewa muda nadhani haupunguwi siku saba ili kama una malalamiko ujibu ndani ya siku hizo!


Hizi communications kwasasa zinafanyika nje ya mfumo wa TANePS kwahiyo Clients ndio watalazimika kukutumia barua husika na wewe utarespond kwao nje ya mfumo!!!

TANePS inaishia tu kwenye ku upload documents zako Evaluation na award( baada ya mawasiliano na kumaliza muda wa matazamio Yaani siku saba takes hapo juu)


Kama mtu aliomba kazi na hakupata mtejesho ni Aidha kuna uzembe kwenye Taasisi husika aliyoomba kazi au Documents zake hazijafika!!!


Kingine pia kuna kipindi attachments za Bidders hazifunguki au zinakuwa corrupted( kutokana na Bidders kutoweka docs ktk format inayotakiwa-Hapa unajikuta huwezi kuwa evaluated )
Mkuu zinzatakiwa documents ziwe kwenye mfumo gani kwani si PDF tu au kuna kingine Mkuu hebu namim nisaidie hapa kuelewa
 
Samahani kwa kuchelewa kukujibu Mkuu!!!


Kisheria tender yoyote hasa hizi za sheria ya PPRA iwe ya Goods,Works au Consultancy, Bidder yeyote aliyeomba kazi ikitokea ameshindwa kwenye kinyang’anyiro ni sharti ajulishwe kuwa Tender number ..,,,, ya kitu fulani hajafanikiwa kupata kwa sababu ……!!!

Barua huitwa Notification/intention to award….. katika barua hii huwa unatolewa muda nadhani haupunguwi siku saba ili kama una malalamiko ujibu ndani ya siku hizo!


Hizi communications kwasasa zinafanyika nje ya mfumo wa TANePS kwahiyo Clients ndio watalazimika kukutumia barua husika na wewe utarespond kwao nje ya mfumo!!!

TANePS inaishia tu kwenye ku upload documents zako Evaluation na award( baada ya mawasiliano na kumaliza muda wa matazamio Yaani siku saba takes hapo juu)


Kama mtu aliomba kazi na hakupata mtejesho ni Aidha kuna uzembe kwenye Taasisi husika aliyoomba kazi au Documents zake hazijafika!!!


Kingine pia kuna kipindi attachments za Bidders hazifunguki au zinakuwa corrupted( kutokana na Bidders kutoweka docs ktk format inayotakiwa-Hapa unajikuta huwezi kuwa evaluated )
Shukrani sana Mkuu umeeleweka je Format unamaanisha nini Mkuu
 
Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kushinda Tender!!!

Labda kosa ni wewe kutokupewa mrejesho Kwanini umeshindwa maana Sheria inataka ujulishwe matokeo ya mchujo huo na sababu za wewe kushindwa!

Lakini kuna jambo moja unatakiwa ujihakikishie kuna kipindi waombaji wa tender kwenye mfumo hawakamilishi hatua zote sasa hapa tender yako haiwezi kufika na ikafanyiwa kazi, Pili kuna wengine wanatuma Documents katika format isiyotakiwa matokeo yake wakati wa ufunguzi inaonekana imekuwa infected na Virus so umakini unatakiwa kuanzia kwako kabla ya kulaumu mfumo.
Wanatumaga email kwanin umeahindwa na mda wa ku-appeal alichoongea ni uongo
 
Back
Top Bottom