Uchumi wetu kama nchi inayoendelea unatakiwa kuimarika kupitia uzalishaji na kuongeza thamani ya malighafi tulizo nazo. Ili kufanya hayo inahitajika uendelezaji wa viwanda. Uendelezaji wa viwanda unatakiwa kwenda sambamba na upanuzi wa teknolojia kutokana na hali ya uchumi wa dunia ulivyo kwa sasa. Ili kuhuhisha upanuzi wa viwanda kwenda sambamba na teknolojia, jambo la msingi ni MTAJI... That is where the challenge comes in our country. ....Chukua hatua....