Changamoto HESLB

Changamoto HESLB

chikoxalate

Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
62
Reaction score
22
Habari za saivi wana JF,

Nimekutana na changamoto apa mwanzo niliattach vote card ya mdhamini ila ikajitoa kwa bahati mbaya kwenye system sasa kila nikiingia nakutana na maelezo ya kuweka tena lakini sehemu ya kukiweka (kuattach) sipaoni NAOMBA MSAADA mwenye uelewa apo na simu hawapokei.


Screenshot_20210805-234300_Chrome.jpg
 
Umeambiwa uende Posta uitume kwa huduma ya EMS.
Kama uko Dar, nenda ofisini kwao Tazara na kopi ya nyaraka uliyoagizwa.
 
Habari za saivi wana JF, nimekutana na changamoto apa mwanzo niliattach vote card ya mdhamini ila ikajitoa kwa bahati mbaya kwenye system sasa kila nikiingia nakutana na maelezo ya kuweka tena lakini sehemu ya kukiweka( kuattach) sipaoni NAOMBA MSAADA mwenye uelewa apo na simu hawapokeiView attachment 1882023

Ulikamilisha process za kutuma siku gani hadi ukakuta hiyo notification?!
 
Nimetuma kama siku10 zilizopita na nikaprint ila wiki iliyopita ikaja hiyo taarifa

Basi njia rahisi zaidi ni kutuma hiyo document iliyo miss posta yao ukiambatanisha na barua ya maelezo ya marekebisho
 
Umeambiwa uende Posta uitume kwa huduma ya EMS.
Kama uko Dar, nenda ofisini kwao Tazara na kopi ya nyaraka uliyoagizwa.
Usijaribu kutuma posta ukisoma vizuri Hilo TANGAZO wanasema attach kwenye mfumo Kisha print upya hiyo package uitume kwa EMS hawapokei mkononi
 
Usijaribu kutuma posta ukisoma vizuri Hilo TANGAZO wanasema attach kwenye mfumo Kisha print upya hiyo package uitume kwa EMS hawapokei mkononi
Apo ndo nilivyoelewa sema shida ni wiki ya pili hii nafanyaje apo?
 
Back
Top Bottom