chikoxalate
Member
- Apr 18, 2018
- 62
- 22
Habari za saivi wana JF,
Nimekutana na changamoto apa mwanzo niliattach vote card ya mdhamini ila ikajitoa kwa bahati mbaya kwenye system sasa kila nikiingia nakutana na maelezo ya kuweka tena lakini sehemu ya kukiweka (kuattach) sipaoni NAOMBA MSAADA mwenye uelewa apo na simu hawapokei.
Nimekutana na changamoto apa mwanzo niliattach vote card ya mdhamini ila ikajitoa kwa bahati mbaya kwenye system sasa kila nikiingia nakutana na maelezo ya kuweka tena lakini sehemu ya kukiweka (kuattach) sipaoni NAOMBA MSAADA mwenye uelewa apo na simu hawapokei.