Changamkia Fursa Mshahara 390k

Changamkia Fursa Mshahara 390k

Sio mgen, ndo nmeliona tangazo nkasema nishare na wana jf
Never bother to deal with those bastards! Matapeli walio profeshnolize hao utasababisha watu wawasiliane nao mwisho watapeliwe tu bure mkuu. Watu wengi humu huamini taarifa zinazowekwa hapa so uaminifu huo waweza sababisha wakaibiwa bure
 
uliambiwa uuze mabeseni, utembeze sabuni, dawa ya meno,
walituambia bidhaa, hatukufika huko hadi kujua ni bidhaa gani, sema nikaja kupata kazi sehemu nyingine, nilipokuwa ofisini akaja mdada anatutembezea bidhaa za losheni na vikorokoro vingine, kumuuliza maswali ndio akatujibu wameajiriwa na watu fulani, ndio nikagundua kumbe bidhaa zenyewe ndio hizi..Wala hata sikuwaambia wenzangu niliitwa kwenye kazi kama hiii maana
 
Back
Top Bottom