Changamkia fursa acha kulala

Changamkia fursa acha kulala

dankunjan

Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
5
Reaction score
0
1e981efb7424bda7aee5f961167cee49.jpg
 
Wewe mpaka sasa daraja gani? Na umepata faida kiasi gani?
 
Wasukuma sikuhizi tumeelimika kweli,hata hizi deal tunapiga kumbe
Mkuu, tutake radhi Wasukuma. Sisi tunalima na kufuga ng'ombe japo tunaumia dhahabu yetu yote inaibwa. Lakini haujafikia hatua ya kufanya utapeli kama huu wa pyramid scheme. Yaani unatoa 20,000 halafu hela zinaanza kuzaliana tu. Maajabu ya karne!
 
Jaza ujazwe.
Desi Udesiliwe [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Ukitaka kula kwanza uliwe...... Watu aaaah!!!!!!! .....
Sina maaana hiyoooo......!!!!
 
Utajiri wa ndotoni ndio huu[emoji1]



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Karibuni mpigwe.faida ya tatu.
Mil 25.
Muanzilishi yeye kesha ipata hyo mil 25?
 
Back
Top Bottom