Chanel Ten Uzembe Huu Usirudiwe



Haaa mpaka kafika habari za michezo hakuna maproducer.wala hata boss aliyeskia akajaribu kuokoa jahazi na huyo msomaji hajielewi wala sijui kama Kafka secondary ya Kara au si mtanzania mambo ya Uhuru Leo Hi khaaaaaaaa alilala na viroba jogoo walahi keleuwiii
 
Hiyo ndiyo taswira ya mtanzania tunakila sababu ya kuliombea taifa hili ili vizazi vijavyo vitakasike!Tanzania hihi ndiyo Madokta wake Walifanya upasuaji wa kichwa badala ya goti,Waziri wa elimu alisema Tz ni Muungano wa Zanzibar na Zimbabwe,Bunge la katiba kufuta vipengele vya msingi katika rasimu pendekezwa na kushawishi wananchi kuiunga mkono katiba ya chenge,Tz hii ndiyo inakataa pesa zake zinazo ibiwa mpaka ishinikizwe na wazungu kuzikubali na mengine mengi kama hayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…