Hiyo ndiyo taswira ya mtanzania tunakila sababu ya kuliombea taifa hili ili vizazi vijavyo vitakasike!Tanzania hihi ndiyo Madokta wake Walifanya upasuaji wa kichwa badala ya goti,Waziri wa elimu alisema Tz ni Muungano wa Zanzibar na Zimbabwe,Bunge la katiba kufuta vipengele vya msingi katika rasimu pendekezwa na kushawishi wananchi kuiunga mkono katiba ya chenge,Tz hii ndiyo inakataa pesa zake zinazo ibiwa mpaka ishinikizwe na wazungu kuzikubali na mengine mengi kama hayo!