Michezo ambayo TZ tunaweza ni:
1. Ndondi (Akina Cheka wana mikanda kibao ya Africa)
2. Pool Table (Bingwa wa Africa mchezaji binafsi 2013, Bingwa namba mbili Africa 2013, 2014)
3. Big Brother Africa (Mshindi 2014, Mshindi namba 2 2006, 2003)-Hapa tunashinda sanasana kwasababu sisi ni mabingwa wa kukaa kwenye social network kupiga kura..
4. Ule wa kitandani..