CHAMI: Ekelege na Joyce wameniponza

Kwani majukumu ya waziri ni yapi? na je yeye kama waziri aliyatekeleza majukumu yake vipi? Je uwaziri maana yake ni kutia sahihi kila kitu kinacholetwa kwako bila kukihakikisha? Kama maamuzi yale yote yalikuwa na idhini ya waziri basi asitafute wa kumlaumu hata kama yeye mwenyewe hakula kitu.
 

Mheshimiwa Chami ni mbunge. Kama anayosema ni kweli basi tuone kikao cha bunge kijacho atatoa hoja gani regarding hawa wezi. What makes the next bunge session interesting is the fact that wabunge kama Mheshimiwa Chami watakuwa back-benchers kwa mara ya kwanza na macho yote yatakuwa kwao kuona kama wana la kusema against serikali ambayo imewatupilia nje. Yetu macho.
 
Sasa serikali ijkiandae kupokea Makombora ya Maangamizi toka kwa majeruhi hawa
 
Kuna kila dalili kwamba ugonjwa unaomsumbua Chami umeuathiri mfumo wake wa fahamu. Maneno haya Kama kweli kayasema yanaendelea kuthibitisha athari hizo.
 
source YA MANENO YA CHAMI TAFADHALI.

ILA EKELEGE ALIZIDI KUJIBIZANA NA AKINA FILIKUNJOMBE, KWANI CHAMI HAKUONA HILI? HE IS A GOOD GUY, BUT HE HAS TO PAY THE PRICE
 
Hakika,kwa hili,Chami ameonewa!

Chami ameonewa na nani wewe? Alipewa ushauri wa kutosha ambao angeufata usingemfikisha hapa alipo-acha abebe matokeo ya ubishi au woga wake. Ukiniambia Nundu naweza nikakubaliana na wewe, hapa nahisi Mfutakamba ndiye amemponza huyu bwana
 
na ndio akome yeye kapewa mamlaka sasa kama mda wa kuisoma ripoti hana ndio atatia akili kwani ni uzembe

hahahaaa kama hana muda wa kusoma ripoti ya CAG , je anao wa kusoma hayo mamikataba wanayoingiaga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…