BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,223
huyo mtumshi wake ni nani?
Wana JF baada ya badiliko la mawaziri lililopelekea aliyekuwa waziri wa viwanda na Biashara ndg Cyril Chami kutemwa,imedhihirika ripoti zote za CAG hazimtaji moja kwa moja ila ni Ekelege(mkurugenzi mkuu TBS na katibu mkuu wake bi Joyce Mapunjo ambao wamekuwa wakila dili
"Kilichoniponza ni kutoipitia taarifa ya CAG na kutoa mapendekezo kama waziri,pia nilimuamini sana katibu mkuu ambaye yeye na wenzake walinigeuka na kuanza kuwa makuwadi wa kampuni feki za ukaguzi ambazo ni zao wenyewe tena hewa..
Nimegundua kosa langu la kumtetea Mkurugenzi wa TBS na kampuni zao.
Najua kama alivyosema rais na wao wataniafuata"
Mwisho wa kunukuu.
Hizi habari toka kwa Mtumishi wa ofisi yake ambae walikuwa nae jana usiku wakisikitika.
Sawa kabisa mdau.Nakumbuka alilaumu kuwa CAG kwapa ripoti wapinzani akina Nassari wakati yeye waziri hajapewa
nikiachia uwaziri jimbo langu la Moshi Vijijini 2015 litakwenda CDM' mwisho wa kunukuu
sasa ngoja hiyo 2015 ataona kama atapata hata robo ya kura alizopata
2010 pumbavu kabisa
Sawa kabisa mdau.
Sasa waziri kama huyu inaonesha haijui kabisa Wizara yake, hakutakiwa kupewa ripoti ya CAG maana yeye hakumuajiri CAG, CAG ni mteule wa Rais. Hata kabla ya CAG hajatoa ripoti, yeye kama waziri mwenye dhamana alitakiwa ajue wapi pana mianya ya ubadhirifu kabla na kuanticipate measures mapema. Hata kama kweli hahusiki na ubadhirifu ni wazi huyu uwaziri hauezi.
Huyu jamaa ni buege wa kutupa..Watafuata wapi? Kwa kauli ya jana JK amesema 'kwa misingi ya sasa', thats means from now on (from yesterday- 4 May 2012) ndio watafuata, manake kwamba dhambi ya kabla ya hapo zimesamehewa!
Nadhani alikuwa anafikiri kuwa bado kunakufanya kazi kwa umoja katika serikali (uwajibikaji wa pamoja).na ndio akome yeye kapewa mamlaka sasa kama mda wa kuisoma ripoti hana ndio atatia akili kwani ni uzembe
Wana JF baada ya badiliko la mawaziri lililopelekea aliyekuwa waziri wa viwanda na Biashara ndg Cyril Chami kutemwa,imedhihirika ripoti zote za CAG hazimtaji moja kwa moja ila ni Ekelege(mkurugenzi mkuu TBS na katibu mkuu wake bi Joyce Mapunjo ambao wamekuwa wakila dili
"Kilichoniponza ni kutoipitia taarifa ya CAG na kutoa mapendekezo kama waziri,pia nilimuamini sana katibu mkuu ambaye yeye na wenzake walinigeuka na kuanza kuwa makuwadi wa kampuni feki za ukaguzi ambazo ni zao wenyewe tena hewa..
Nimegundua kosa langu la kumtetea Mkurugenzi wa TBS na kampuni zao.
Najua kama alivyosema rais na wao wataniafuata"
Mwisho wa kunukuu.
Hizi habari toka kwa Mtumishi wa ofisi yake ambae walikuwa nae jana usiku wakisikitika.
So what!! Jingas kabisa.Punguza hasira Mkuu Mods are online.
nani jingaSo what!! Jingas kabisa.
Wana JF baada ya badiliko la mawaziri lililopelekea aliyekuwa waziri wa viwanda na Biashara ndg Cyril Chami kutemwa,imedhihirika ripoti zote za CAG hazimtaji moja kwa moja ila ni Ekelege(mkurugenzi mkuu TBS na katibu mkuu wake bi Joyce Mapunjo ambao wamekuwa wakila dili
"Kilichoniponza ni kutoipitia taarifa ya CAG na kutoa mapendekezo kama waziri,pia nilimuamini sana katibu mkuu ambaye yeye na wenzake walinigeuka na kuanza kuwa makuwadi wa kampuni feki za ukaguzi ambazo ni zao wenyewe tena hewa..
Nimegundua kosa langu la kumtetea Mkurugenzi wa TBS na kampuni zao.
Najua kama alivyosema rais na wao wataniafuata"
Mwisho wa kunukuu.
Hizi habari toka kwa Mtumishi wa ofisi yake ambae walikuwa nae jana usiku wakisikitika.