Chami amtetea mkurugenzi wa TBS

AMARIDONG

JF-Expert Member
Jun 24, 2010
2,502
180
sasa hivi bungeni CYRIL CHAMI AKA BABA MKWE anamtetea MKurugenzi wa TBS kwa msuli mzito
 
Yani huyu Chami nae simuelewi, kwanini anamtetea sana huyu mkurugenzi wa TBS?
 
sasa hivi bungeni CYRIL CHAMI AKA BABA MKWE anamtetea MKurugenzi wa TBS kwa msuli mzito

Kawaida ya watu Wa magamba(ccm)wana masikio/macho/pua/mdomo/akili timamu lakini vyote hivi havifanyi kazi kbs ndani ya ccm
 
Hivi hili jimbo la Sanya, Limo katika List ya CDM 2015? maana limezungukwa kama lile la Arumeru Mashariki.
 
Mkuu, huwa sijuhi kwa nini Mkurugenzi huyu ana andamwa sana! ukiangalia kwa makini utakuta mambo wanayo mzulia niyakubuni tu, wafanya biashara wa magari hasa hasa mapya wanafanyaga kampeni kubwa sana hawataki watu wanunue used CARS; kuna wakati fulani baadhi ya wafanya biashara walikuja na pendekezo eti magari yawe yanaingizwa nchini hivyo hivyo bila kukaguliwa - ukaguzi eti ufanywe nchini, mtu anayetoa mapendekezo kama hayo anakuwa na maana gani au ajenda gani ya SIRI.

Mimi nashauri tuwe makini sana na wafanya biashara, wana mbuni nyingi - chukulia mfano wa uingizaji wa mafuta in BULK, wafanya biashara wamekwisha anzisha malumbano na kuisema vibaya kampuni iliyo shinda tenda; mbinu hizi hizi ndio zinatumika kumsema vibaya Mkurugenzi wa TBS. Watanzaia tusipo badilisha tabia zetu za kuchafuana kwa ajili ya maslahi tu hatutafika mbali - wenzetu Kenya hawafanyi mambo ya ajabu kama ya kwetu hapa, tunapoteza muda mwingi kwenye malumbano ambayo hayana TIJA.
 
Wacha aongee pumba za mwisho mwisho umo bungeni 2015 mbunge wa Moshi Vijijini ni ALBERTO MSANDO CDM.
 
TBS iko chini ya wizara ya viwanda na biashara inayoongozwa na Chami, uchafu wote wa TBS wizara nayo inahusika.
 
Hivi kwa nini ccm wanapenda kutufanya sisi mafala hivi? Mbona kule kwa mjengwa kuna mtu ana hadi video evidence ya madudu ya ekelege lakini huyu chami hajamwita kumhoji?
mkuu, huwa sijuhi kwa nini mkurugenzi huyu ana andamwa sana! Ukiangalia kwa makini utakuta mambo wanayo mzulia niyakubuni tu, wafanya biashara wa magari hasa hasa mapya wanafanyaga kampeni kubwa sana hawataki watu wanunue used cars; kuna wakati fulani baadhi ya wafanya biashara walikuja na pendekezo eti magari yawe yanaingizwa nchini hivyo hivyo bila kukaguliwa - ukaguzi eti ufanywe nchini, mtu anayetoa mapendekezo kama hayo anakuwa na maana gani au ajenda gani ya siri.

Mimi nashauri tuwe makini sana na wafanya biashara, wana mbuni nyingi - chukulia mfano wa uingizaji wa mafuta in bulk, wafanya biashara wamekwisha anzisha malumbano na kuisema vibaya kampuni iliyo shinda tenda; mbinu hizi hizi ndio zinatumika kumsema vibaya mkurugenzi wa tbs. Watanzaia tusipo badilisha tabia zetu za kuchafuana kwa ajili ya maslahi tu hatutafika mbali - wenzetu kenya hawafanyi mambo ya ajabu kama ya kwetu hapa, tunapoteza muda mwingi kwenye malumbano ambayo hayana tija.
 
Back
Top Bottom