Picha inaongea kwa sauti kubwa sanaa;Huu ni zaidi ya utoto na upuuzi wa viwango vyake.
Hali ikifika hapa tambua kwenye hoja wameshapigwa dafrau la chembe sasa wanachechemeaView attachment 3106570View attachment 3106572View attachment 3106572
Damu za watu wanaomwaga zinawatesa sana hao jamaa
Ndiyo maana wanaishia kupakwa mafuta na PdidyCCM ina vijana Wajinga sana!