Chama mkataba unaisha. Aongeza juhudi ya mazoezi

Chama mkataba unaisha. Aongeza juhudi ya mazoezi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Ni kawaida ya Chama mkataba unapokaribia kuisha huongeza sana juhudi ya mazoezi. Na hili jambo kwa kweli humbadilisha Chama na kumfanya mpambanaji sana uwanjani.

Ila tena matches ngumu zikianza huanza kucheza kwa woga akiogopa kuumia maana umri nao si haba. Chama akutane na Dodoma Jiji, Fountain Gate and the likes. Uta enjoy sana uchezaji wake. Sasa aje akutane na walume ndago hutamwona uwanjani. Unaweza sema hayupo.
 
Ni kawaida ya Chama mkataba unapokaribia kuisha huongeza sana juhudi ya mazoezi. Na hili jambo kwa kweli humbadilisha Chama na kumfanya mpambanaji sana uwanjani.

Ila tena matches ngumu zikianza huanza kucheza kwa woga akiogopa kuumia maana umri nao si haba. Chama akutane na Dodoma Jiji, Fountain Gate and the likes. Uta enjoy sana uchezaji wake. Sasa aje akutane na walume ndago hutamwona uwanjani. Unaweza sema hayupo.
Azam nadhani ndiyo hatari zaidi
 
Hii habari yako ina madhara gani kwenye msiba wa Papa aliyeishi miaka 88 bila kuonja papuchi?
 
Hii habari yako ina madhara gani kwenye msiba wa Papa aliyeishi miaka 88 bila kuonja papuchi?
Hebu tuambie wewe una miaka mingapi papuchi yako haijaonjwa madam? Maana hili nalo tusikie kutoka kwa wewe mliwaji.
 
Azam nadhani ndiyo hatari zaidi
Hii ndio sababu nawachukia azam hadi leo. Ile last season ndio walitufanya tutolewe na mamelodi, kisa wametukamia sana wakawachezea rafu akina pacome na halidi aucho. kupelekea wakaikosa ile match.
asee tangu hapo siipendi azam kisenge.
 
Ni kawaida ya Chama mkataba unapokaribia kuisha huongeza sana juhudi ya mazoezi. Na hili jambo kwa kweli humbadilisha Chama na kumfanya mpambanaji sana uwanjani.

Ila tena matches ngumu zikianza huanza kucheza kwa woga akiogopa kuumia maana umri nao si haba. Chama akutane na Dodoma Jiji, Fountain Gate and the likes. Uta enjoy sana uchezaji wake. Sasa aje akutane na walume ndago hutamwona uwanjani. Unaweza sema hayupo.
Kama vipi bai awe anapewa mkataba wa miezi sitasita.
 
Wepi sasa? Wenye jinsia 2? Au wanawake kwa wanawake kupeana mimba?
😂😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom