Chama langu Simba hatari inakuja tuchukue tahadhari

Una akili lakini wenzio ni mbumbumbu hawakukuelewa.
 
Hata kwenye ligi simba haitakuwa ya kutisha sana kama inavyodhaniwa kwanza kuna uwezekano wakamfukuza kocha
Kumfukuza kocha itakuwa kosa kubwa, sioni kosa lake, hizi lawama ziende kwa management kwa usajili usio na tija, viwango na kushindwa kuwabakiza baadhi ya wachezaji, yale ya kina wawa kupiga mpira na kuukosa kwenye mechi ya azam leo tena yamejirudia, pumzi hakuna.
 
Wenye simba waliondoka nayo unamuacha KOTEI nilimuita invincible huyu ndie uti wa mgongo wa mafanikio ya simba mwaka Jana,OKWI ubishi mganda huyu ndio kwenye simba ,NIYONZIMA mechi zenye presha kama hizi anaziweza sana
 
Tuliidharau timu hii ya Mozambique lakini siku zote Msumbiji hua inatusumbua sana iwe kwa ngazi ya vilabu na hata timu ya Taifa. Wana style yao ya kufunga goli dakika tano za mwanzo na likang'ang'ania hadi mpira unaisha
Dah! Leo yametimia aisee 😔 😔😔 😔
 
Wenye simba waliondoka nayo unamuacha KOTEI nilimuita invincible huyu ndie uti wa mgongo wa mafanikio ya simba mwaka Jana,OKWI ubishi mganda huyu ndio kwenye simba ,NIYONZIMA mechi zenye presha kama hizi anaziweza sana
Ajibu si yupo kaziba pengò la Niyonzima
 
Usajili usio na tija upi wakati ni mapendekezo ya kocha
 
Tuliidharau timu hii ya Mozambique lakini siku zote Msumbiji hua inatusumbua sana iwe kwa ngazi ya vilabu na hata timu ya Taifa. Wana style yao ya kufunga goli dakika tano za mwanzo na likang'ang'ania hadi mpira unaisha
Kiongozi hii ni kweli kabisa! Sikumbuki ni lini tumewahi kuwafunga Msumbiji kuanzia kwenye klubs au timu ya taifa! Tangu walipotutia nuksi kwa Mchina, Msumbiji siwataki kabisa!! Yaani ile mijamaa inajua kabisa tumeiita kudumisha udugu wetu katika kuzindua uwanja wetu lakini bado ikatutandika!!!
 
U
Uwanja tulizindua na Uganda..wait walifuata baada ya Uganda mechi ya qualifications za CAF
 
U

Uwanja tulizindua na Uganda..wait walifuata baada ya Uganda mechi ya qualifications za CAF
Kumbe enh! Labda kwavile bado nina kumbukumbu mbaya ya ile mechi ambayo nilikuwa mkoa nikasafiri hadi Dar! Hadi leo naipata taswira ya wachezaji wa The Mambazi na zile jezi zao walivyokuwa wanashangilia ushindi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…