Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,537
- 37,854
Haiwezekani kiongozi wa ngazi ya Waziri anawaita Wananchi anaowaongoza hawana akili. Kwamba kuongozwa na CCM Kwa miaka zaidi ya 60 kunatokana na wanaongozwa kukosa akili?
Huyu Waziri anamaanisha Chama chake na siyo yeye binafsi maana yeye kwenye Uongozi ana chini ya miaka 20.
Huyu Waziri anamaanisha Chama chake na siyo yeye binafsi maana yeye kwenye Uongozi ana chini ya miaka 20.