uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,454
- 2,242
Na machadema ya humu JF ymeshakuwa kama ma ccm Ukiyaelekeza kitu yanakushambulia sana hayataki kupingwa
Uko sawa kabisa, maana......
Na machadema ya humu JF ymeshakuwa kama ma ccm Ukiyaelekeza kitu yanakushambulia sana hayataki kupingwa
Wakulaumiwa:
1. Wachaga
2.Padre
3.Mtei
4Mbowe.
Ushauri wako wa bure umechelewa, kwani SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA.
![]()
Tumethubutu, tumeweza na sasa tunasonga mbele. Kigumu chama cha wauza unga, majangili, mafisadi na magaidi, KIGUMU!!!!!
![]()
![]()
![]()
Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt.Asharose Migiro akiwa amesimama kando kando ya barabara tope, kufuatia eneo hilo kuharibika kutokana na mvua kunyesha na kusababisha utelezi mkubwa eneo hilo. Anawaza, "Ningekuwa New York shida kama hizi hakuna kabisa."
Na machadema ya humu JF ymeshakuwa kama ma ccm Ukiyaelekeza kitu yanakushambulia sana hayataki kupingwa
Dalili ni tosha, Chadema kinaanguka kwa kasi kubwa huku uhai wa chama unazidi kuteterereka pamoja na mifarkano inayotokea chamani kutokana na kuwepo uongozi wa KIIMLA unaoendekeza mgawanyiko wa wanachama kutokana na ukanda ukabila na udini.
Uongozi legelege katika chama umechangia kuwepo kwa maamuzi kufanywa na Mwenyekiti pamoja n Katibu Mkuu huku Makamu Mwenyekiti na Naibu Katibu Mkuu Bara wakitengwa katika vikao vya maamuzi.
Yote yanayotokea hivi sasa yamesababishwa na ubabaishaji wa Mheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ambao wamegeuza CHADEMA kuwa taasisi yao wakifuata maelekezo ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.
Ushauri wa bure kwa CHADEM, kaeni chini mjadili namna ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014
Wakulaumiwa:
1. Wachaga
2.Padre
3.Mtei
4Mbowe.
Ushauri wako wa bure umechelewa, kwani SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA.
makalio wewe....
Kamshauri Mwigulu, Kinena, Nepi, Dhaifu, Mr. ------- na MaCCM mauza unga ambayo yanaambilika.Ushauri Mzuri sana, ila hawa MAMANGI hawaambiliki.
Ushauri Mzuri sana, ila hawa MAMANGI hawaambiliki.
Dalili ni tosha, Chadema kinaanguka kwa kasi kubwa huku uhai wa chama unazidi kuteterereka pamoja na mifarkano inayotokea chamani kutokana na kuwepo uongozi wa KIIMLA unaoendekeza mgawanyiko wa wanachama kutokana na ukanda ukabila na udini.
Uongozi legelege katika chama umechangia kuwepo kwa maamuzi kufanywa na Mwenyekiti pamoja n Katibu Mkuu huku Makamu Mwenyekiti na Naibu Katibu Mkuu Bara wakitengwa katika vikao vya maamuzi.
Yote yanayotokea hivi sasa yamesababishwa na ubabaishaji wa Mheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ambao wamegeuza CHADEMA kuwa taasisi yao wakifuata maelekezo ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.
Ushauri wa bure kwa CHADEM, kaeni chini mjadili namna ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014
Wewe usitake kujifanya mjuaji sana!Hivii MAREKANI iko upande gani mwa bara la AMERICA.Kama hujui ulizia hata kwa walimu wako wa geography ulikopita.
Hapo CHAMA CHA MIHADARATI Mnajadili nini ati????????.
Wakulaumiwa:
1. Wachaga
2.Padre
3.Mtei
4Mbowe.
Ushauri wako wa bure umechelewa, kwani SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA.