Chama gani mbadala kwa CCM?

Chama gani mbadala kwa CCM?

Baada ya sakata la zitto ndiyo tutajua hasa baada ya miaka mitano ijayo kwa sasa sijaona chama vyote ni vyama vya watu mfano cuf cha maali sefu,cdm cha mtei na mbowe,kipo kile cha mlema ,kile cha cheyo na vingine vingi vya watu.
 
Hapa suala sio chama,suala ni nani mwenye uwezo wa kututoa kwenye tope tulilozama?. Tunaweza tukawa na vyama 100,ishu vinaongozwaje?,nani aliyetayari leo hii kusema pasi na shaka kuwa chama fulani kiko sahihi kuliongoza taifa letu?,nadhani ufike wakati tujadili MASUALA badala ya watu au vyama. Tukimpata mtu ambaye atatueleza matatizo ya taifa hili,akatueleza jinsi ya kuyatatua,basi yafaa kumfikiria katka uongoz wa taifa hili komavu(sio changa).
 
Hapa suala sio chama,suala ni nani mwenye uwezo wa kututoa kwenye tope tulilozama?. Tunaweza tukawa na vyama 100,ishu vinaongozwaje?,nani aliyetayari leo hii kusema pasi na shaka kuwa chama fulani kiko sahihi kuliongoza taifa letu?,nadhani ufike wakati tujadili MASUALA badala ya watu au vyama. Tukimpata mtu ambaye atatueleza matatizo ya taifa hili,akatueleza jinsi ya kuyatatua,basi yafaa kumfikiria katka uongoz wa taifa hili komavu(sio changa).

mi nafikiri suala sio tu kujadili mtu Bali pia tuongezee na mfumo wa chama. Maana kuna dereva mbovu aliyekabidhiwa gari Zima akariharibu, kuna dereva mzuri aliyekabidhiwa gari bovu pia likamshinda. Tunahitaj kuangalia uimara wa dereva na uimara wa gari atakaloende
Sha
 
Wewe mwenyewe umeikumbatia ccm, unamwabia nani aitoe

Kwa huu upuu.z wa ubaguz wa kikanda,uhuni na wizi wa wake za watu uliopo ndani ya chama kikuu cha upinzani,2015 jibu litapatikana.
 
Baada ya sakata la zitto ndiyo tutajua hasa baada ya miaka mitano ijayo kwa sasa sijaona chama vyote ni vyama vya watu mfano cuf cha maali sefu,cdm cha mtei na mbowe,kipo kile cha mlema ,kile cha cheyo na vingine vingi vya watu.

hapa unamaanisha kuwa ccm ni chama cha wanyama pori?
 
Habari wakuu wa jukwaa tanzania nchi yangu inahitaji chama kipya cha upinzan chenye nguvu na ushawishi kwa wananchi chenye watu makin wasio yumba

Wawepo watu wapya wasio nunuliwa na ambao sio waoga watu wenye weledi wa hali ya juu ambao wakiongea kitu selikali ya ccm ina tetemeka wasio kimbia nchi yao kama yule jamaa na wasio hongwa na mafisad ili kuuza chama

Lengo la chama hicho ni kuindoa ccm madarakan
Kuleta katiba mpya
Pamoja na kuleta usawa kwa wananchi ikiwemo na kupigania bunge live
kisiwe chama cha kulalamika lalamika na kuomba demokrasia bali kiwe chama cha kudai demokrasia

Naomba kuwasilisha mubalikiwe wapendwa katika bwana
 
Tanzania inahitaji kupata chama cha upinzani.

Kwa sasa ombwe LA vyama vya upinzani linaonekana .
 
MKUU KWA SASA HAKUNA NA SIDHANI KAMA KITATOKEA MIAKA YA HIVI KARIBUNI, HIKIKIZAZI CHA WADANGANYIKA KILICHOJAA UBINAFSI, UDINI, UKABILA MPAKA KIISHE JUU YA USO WA DUNIA HII HAPO NDIPO WAPINZANI WA KWELI WATATOKEA.
TUNAZUNGUMZIA NUSU KARNE IJAYO
 
Tanzania tuna vyama vyama siasa vya upinzani takribani 30.

Lakini hadi sasa bado hatujapata chama mbadala ambacho kitambana na CCM na hivi vingine vimuunge mkono chama kimoja.

Ikumbukwe ya kwamba mwaka 1995 NCCR ilitingisha kupitia Mrema walipambana wakashidwa.

2000 na 2005 CUF kupitia Lipumba walipambana lakini wakashidwa

2010 na 2015 CHADEMA kupitia Lowassa walipambana mara mbili wakashidwa.

2020 inakaribia hadi sasa sijui mawazo ya upinzani wamejipanga vipi kushinda.

Lakini pia kama vyama vyote vimeshidwa ni chama gani mbadala wa CCM ikizingatiwa vyama vyote vimeshindwa.
 
Tanzania tuna vyama vyaa siasa vya upinzani takribani 30.

Lakini hadi sasa Badoo hatujapata
Chama mbadala ambacho kitambana na ccm na hivi vingine vimuunge mkono chama kimoja

Ikumbukwe ya kwambaa mwaka

1995 NCCR IlITINGISHA
KUPITIA MREMA WALIPAMBANA WAKASHIDWA

2000 NA 2005 CUF KUPITIA LIPUMBA WALIPAMBANA LAKINI
WAKASHIDWA

2010 NA 2015 CHADEMA KUPITIA LOWASSA WALIPAMBANA MARA
MBILI WAKASHIDWAA.

2020 INAKARIBIA HADI SASA SIJUI
MAWAZO YA UPINZANI WAMEJIPANGA VIPI KUSHINDA

LAKINI PIA KAMA VYAMA VYOTEVIMESHIDWA NI CHAMA GANI MMBADALA WA CCM IKIZINGATIWA VYAMA VYOTE
VIMESHIDWAAA
kwa sasa labda kizaliwe chama kipya na kisiwe na hata kiongozi wala mwana siasa mmoja wa chama chochote cha zamani kwenye kamati kuu hiyo,hapo kidogo
 
Kupambana na CCM au kupambana na dola? maana vyama vya Upinzani wakati wa uchaguzi huwa vianahesabiwa kama vyama vya kihaini,kigaidi, nchi adui,maadui wa taifa,makaburu mamluki,wahalifu na wavamizi,kwani kipindi hicho hakuna chombo cha dola huacha kutumika dhidi ya Wapinzani wa kisiasa.Kila chombo chochote cha dola cha taifa hili unachokijua wewe hutumika kuwakabilihao wapinzani unaowabeza wewe na bado ngoma hua ngumu.
 
Back
Top Bottom