Chama gani mbadala kwa CCM?

Chama gani mbadala kwa CCM?

Upinzani umejaza mamluki wa CCM pomoni mpaka makamanda hawaonekani tena
 
kwa sasa labda kizaliwe chama kipya na kisiwe na hata kiongozi wala mwana siasa mmoja wa chama chochote cha zamani kwenye kamati kuu hiyo,hapo kidogo
Samahani mkuu ,nakushauri pakuwa mavi kwenye kichwa chako then ndiyo uongee. Sema hivi tuweke tume huru na tutenge polisi na ccm ndiyo uje ongee upoyoyo wako.
 
Samahani mkuu ,nakushauri pakuwa mavi kwenye kichwa chako then ndiyo uongee. Sema hivi tuweke tume huru na tutenge polisi na ccm ndiyo uje ongee upoyoyo wako.
hita kuwa yapo akilini mwako hayo mavi maana ndiyo umeweza kuyakumbuka
 
mazingira yaliyopo nchini mwetu hayaruhusu mfumo wa vyama vingi kushamiri,katiba iliyopo haitumiwi ipasavyo,ila elewa hata wewe binafsi kama hujishindanishi na mtu yeyote(role model)basi elewa maisha yako yatadumaa,ila always muda ni tiba nzuri mno kwa sasa tunashuhudia vyama vikuu vya kisiasa hapa Africa vipo katika vita ya kujiokoa baada ya kujisahau kwa muda mrefu,ZANU PF na ANC,kutofautiana kiitikadi kusitufanya tuwe mahasimu wa kushindwa hata kuzikana wote ni Watanzania isipokuwa wengine wanashabikia yanga wengine samba ,au Azam,etc etc ambayo nin haki iliyopo kikatiba,huwezi kuniambia kuwa kila mkutano wa CDM mabomu yatumike lakini kwa CCM ni kimya;wajibu wa kisheria haupo ndio maana watu wengine walishangilia wakati our no 1 alipo toa tenda hadharani ,yale ni makosa maana he overrun kamati ya tenda ya wilaya ambayo ipo kisheria,tunaishi nchi ya waoga lakini ile tenda ingeweza kuwa tested mahakamani kama ilitolewa kihalali,nawe unajua haikutangazwa na utaratibu haukufuatwa.ccm watatawala tena na tena ila sio milele.
 
Tanzania tuna vyama vyama siasa vya upinzani takribani 30.

Lakini hadi sasa bado hatujapata chama mbadala ambacho kitambana na CCM na hivi vingine vimuunge mkono chama kimoja.

Ikumbukwe ya kwamba mwaka 1995 NCCR ilitingisha kupitia Mrema walipambana wakashidwa.

2000 na 2005 CUF kupitia Lipumba walipambana lakini wakashidwa

2010 na 2015 CHADEMA kupitia Lowassa walipambana mara mbili wakashidwa.

2020 inakaribia hadi sasa sijui mawazo ya upinzani wamejipanga vipi kushinda.

Lakini pia kama vyama vyote vimeshidwa ni chama gani mbadala wa CCM ikizingatiwa vyama vyote vimeshindwa.
PPT Maendeleo" ingependeza"
 
Samahani mkuu ,nakushauri pakuwa mavi kwenye kichwa chako then ndiyo uongee. Sema hivi tuweke tume huru na tutenge polisi na ccm ndiyo uje ongee upoyoyo wako.
Tukiangalia comment yako na ya huyo uliemjibu tunalazimika kuafikiana na huyo uliemjibu kwamba kwa kuangalia uwiano wa vichwa vibovu na vizuri upande huo hoja yake ni ya msingi.
Kama mfano wa vichwa vyenyewe ndio kama hiki cha kwako.

Mwenzio kaleta hoja bila matusi wewe unaropoka maneno ya ovyo kama kuna ugomvi na sio mjadala.

Kwanini usimjibu kwa hoja?
 
Back
Top Bottom