Hangover ya kukulia katika mfumo wa chama kimoja. Unfortunately, it is too late for him to change. Kwamba hataki mabadiliko haimanishi kwamba hayatatokea. Poleni my colleague BB!
akishiriki katika mahojiano kwenye star t.v dr benson bana amesikika akirudia mara kadhaa kwamba kwa sasa hakuna chama mbadala zaidi ya ccm.msimamo wake unajengwa na hoja kwamba ccm ilishinda urais kwa asilimia 60,ccm ina wabunge wengi,serikali za mitaa zinaongozwa na ccm(asilimia 90).
Hangover ya kukulia katika mfumo wa chama kimoja. Unfortunately, it is too late for him to change. Kwamba hataki mabadiliko haimanishi kwamba hayatatokea. Poleni my colleague BB!
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
bado tanzania tuna watu wanaojua kusoma,wanasikia na kuona lakini vyote hivyo havina faida ni mtu asiyekuwa navyo vyote.Anachoongea ni kweli kbs,, Mpaka sasa vyama vya upinzani bd havijaonyesha mfano wa kuongoza zaidi ya kupiga kelele2,, wanachojivunia zaidi ni mwamko wa wananchi kutaka wawapigie kura lakini wamejipanga vp ktk kuendeleza taifa hili? Au ni kuwatoa madarakani ccm tuu? Mm naungana na dr. Banna kuwa bd hakuna mbadala ingawa ccm kuonyesha mapungufu katk baadhi ya maeneo lakini bd ni chama imara kwanza kinaruhusu mawazo tofauti kutoka ndani ya chama na nje ya chama chake, leo hii chama gani kinathubutu hvyo?. Kwa mfano cdm mm naona ni kama chombo cha habari na cyo chama cha siasa , kwa nn, wamekua wakihubiri matukio zaidi badala ya kueneza sera zao kwa watanzania sasa uwezo wao wa kutetea hayo wanayo yaamini unapimwa vp?. Wajipange na kama mawazo yao ni kuondoa ccm bs cy chama , kwani na ccm nao wakija na mkakati wa kuua upinzani patakuwa vp hapo kwa cc wananchi wa kawaida?
Hao ndiyo chadema bwana hataki hata ukiwaambia ukweli kupinga ni jadi yao. ila kwa hapa nakupongeza kwa kuwaomba waelewe manaa ya neno Mbadala maana tutaruka Maji na kukanyaga matopeee
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
akishiriki katika mahojiano kwenye star t.v dr benson bana amesikika akirudia mara kadhaa kwamba kwa sasa hakuna chama mbadala zaidi ya ccm.msimamo wake unajengwa na hoja kwamba ccm ilishinda urais kwa asilimia 60,ccm ina wabunge wengi,serikali za mitaa zinaongozwa na ccm(asilimia 90).[/QUOTE
cRAP, SASA TENDWA AKIKIFUTA NCHI ITAKUWA BILA VIONGOZI? WE BANA WAKATI MWINGINE UNADUMAZAA UPEVU WA FIKRA ZA MABADILIKO. UWE UNAKAA KIMYA KAMA HUNA HOJA, SI LAZIMA KILA KITU UWE NA CHA KUSEMA.
BANA ni mchambuzi mzuri wa mambo ya siasa, mara kadhaa amekuwa na mtazamo wa kwamba CDM ni chama kinachoweza kuongoza nchi, lakini tukumbuke kwamba mambo yanabadilika na watu wa kutuonesha kuwa sasa kuna mabadiliko ni wasomi kama akina BANA. Ukitaka kujua chama fulani na viongozi wake hawana mvuto tena sikiliza wataalam kama akina Bana. Ni ukweli usiyofichika, hivi sasa vyama vya upinzani havina mwelekeo wa kuwasaidia wananchi. Huwezi kupinga kila lifanywalo na Serikali, ukahamasisha na kuunga mkono migomo na kuhamasisha wananchi wasijihusishe na shughuli za maendelea halafu ukajiita unapigania haki. Tulimlaumu BANA nadhani kama wataalamu wameshaliona hilo.
Hangover ya kukulia katika mfumo wa chama kimoja. Unfortunately, it is too late for him to change. Kwamba hataki mabadiliko haimanishi kwamba hayatatokea. Poleni my colleague BB!
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
hivi nini maana ya 'msomi'?
dokta poyoyo
Anachoongea ni kweli kbs,, Mpaka sasa vyama vya upinzani bd havijaonyesha mfano wa kuongoza zaidi ya kupiga kelele2,, wanachojivunia zaidi ni mwamko wa wananchi kutaka wawapigie kura lakini wamejipanga vp ktk kuendeleza taifa hili? Au ni kuwatoa madarakani ccm tuu? Mm naungana na dr. Banna kuwa bd hakuna mbadala ingawa ccm kuonyesha mapungufu katk baadhi ya maeneo lakini bd ni chama imara kwanza kinaruhusu mawazo tofauti kutoka ndani ya chama na nje ya chama chake, leo hii chama gani kinathubutu hvyo?. Kwa mfano cdm mm naona ni kama chombo cha habari na cyo chama cha siasa , kwa nn, wamekua wakihubiri matukio zaidi badala ya kueneza sera zao kwa watanzania sasa uwezo wao wa kutetea hayo wanayo yaamini unapimwa vp?. Wajipange na kama mawazo yao ni kuondoa ccm bs cy chama , kwani na ccm nao wakija na mkakati wa kuua upinzani patakuwa vp hapo kwa cc wananchi wa kawaida?
Za mbayuwayu changanya na za kwako,sijui hata uanzie wapi kueleimishwa,maana umejichanganya kupita maelezo,hata kukueleimisha ni kazi,baki hivyo hivyo tu,maana katika society lazima watu kama nyie muwepoAnachoongea ni kweli kbs,, Mpaka sasa vyama vya upinzani bd havijaonyesha mfano wa kuongoza zaidi ya kupiga kelele2,, wanachojivunia zaidi ni mwamko wa wananchi kutaka wawapigie kura lakini wamejipanga vp ktk kuendeleza taifa hili? Au ni kuwatoa madarakani ccm tuu? Mm naungana na dr. Banna kuwa bd hakuna mbadala ingawa ccm kuonyesha mapungufu katk baadhi ya maeneo lakini bd ni chama imara kwanza kinaruhusu mawazo tofauti kutoka ndani ya chama na nje ya chama chake, leo hii chama gani kinathubutu hvyo?. Kwa mfano cdm mm naona ni kama chombo cha habari na cyo chama cha siasa , kwa nn, wamekua wakihubiri matukio zaidi badala ya kueneza sera zao kwa watanzania sasa uwezo wao wa kutetea hayo wanayo yaamini unapimwa vp?. Wajipange na kama mawazo yao ni kuondoa ccm bs cy chama , kwani na ccm nao wakija na mkakati wa kuua upinzani patakuwa vp hapo kwa cc wananchi wa kawaida?