Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,565
Ahsante...unajua wananchi wanafuata mkumbo; dawa yake ni kuwapa elimu ya uraia.Wengine wamejazwa hofu,wanahitaji wahakikishiwe security kwamba wanaweza kumchagua yeyote na chama dola au serikali isimnyanyase yeyote.Umetoa somo zuri sana.
Ni somo ambalo makamanda hilikosea mara kwa mara
# vote 4 mwalimu#