Chama cha Mapinduzi yafanya kufuru Kinondoni

Chama cha Mapinduzi yafanya kufuru Kinondoni

Leo mpaka police wameondoa mabango yenu yaani hamkubaliki mnalazimisha tu
 
Jamaa wamejikusanya Dar es salaam nzima .....haha yaani hawana aibu na pilau wamekula za bure....
 
Leo kwenu kinondoni Ngoma imebuma
6cddde755320b8f7d889f0f7166aa43b.jpg
Ngombe wa chakubanga naona uko shift kwani huko mnalipwa kwa siku au idadi ya thread mnazofungua? tupeane michongo kataa kuwa kaa
 
Kama mjumbe wa Kamati ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam niseme asante wana kinondoni kwa kuonyesha uzalendo wa Hali ya juu kwa kufika kwa wingi katika ufunguzi wa Kampeni wa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la kinondoni ndugu Maulid Mtulia.
Ombi langu kwenu wana kinondoni tuendeleze moyo huu mpk tarehe 17 February 2018 kwa kuchagua Mgombea wa chama cha Mapinduzi ndugu Maulid Mtulia kuwa Mbunge wetu.
Kwa maendeleo ya Jimbo letu jawabu ni Maulid Mtulia, Elimu bila malipo, madawa hospitalini, maji bwerere na kikubwa ni Amani na Utulivu ktk Jimbo letu.
Chagua Mtulia chagua Amani yako na familia yako nyumbani mwako.
Wembe ni ule ule ushindi.
Asante sana Dr Mwigulu Nchemba kwa hotuba nzuri iliyojaa hekima na Busara hakika ccm ina vijana mahiri sana.
Sisi team ya kampeni tunawahidi wanaccm kote nchini kuleta ushindi mapemaaaa tena tutafunga Goli la tikitaka huku tumevaa msuli.
Kinondoni 2018 ni Maulid Mtulia
Kidumu chama cha Mapinduzi.
093f0dc5e20ef184cd2aa45aa82b22dc.jpg
24d0d42191a8982541ec626ff6e8bb3e.jpg
51f6b8eefb4ccdff48b62f373b642cc8.jpg
Mnaweza kujidanganya lakini siyo kwa maisha ya sasa.anyway hongera sana.Maana kuna wanaccm tulipishana wakiwa ndani ya basi wakitokea Tageta na Bunju
 
093f0dc5e20ef184cd2aa45aa82b22dc.jpg


Duh, ndio maana leo makamanda wamenyong'onyea.
Wewe kuwa na akili ya kuchanganua mambo usiwe kama zuzu unalishwa matango pori unakenua meno na macho bila kuhoji, hawa watu wengi wameletwa huku Kinondoni na maroli ya mizigo ili kuja kushiriki kampeni, na wala siyo wakaazi wa Kinondoni
 
Polisi ndo kufuru mbona tumewazoea wazee wa biashara ya utumwa kufanya manunuzi ya binadamu
 
Wewe kuwa na akili ya kuchanganua mambo usiwe kama zuzu unalishwa matango pori unakenua meno na macho bila kuhoji, hawa watu wengi wameletwa huku Kinondoni na maroli ya mizigo ili kuja kushiriki kampeni, na wala siyo wakaazi wa Kinondoni
Safari hii mnafungwa goli kwa tikitaka huku watu wamevaa misuli.
 
3b1fa88e3772b94e0addc2a4d916bbc3.jpg

Leo hiyo mnyamala kndoni hatutaki msaliti, mwanaume wa kweli hawezi kununulika wenje kasema huyo mtulia ni sweet baby ametongozwa akanunulika!
Nilidhani ni akili zako? Kumbe ni za Wenye ex- mbunge...aliyepokonywa jimbo na ccm 2015 [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji12] [emoji43]
 
Back
Top Bottom