gkileo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,096
- 487
leo malori ya kubeba mizigo ya kwenda mikoani yalikuwa adimu dar es salaam nzima-yalienda kubeba wana CCM na CUF
On tesha PICHA NDIYO NITAAMINI
leo malori ya kubeba mizigo ya kwenda mikoani yalikuwa adimu dar es salaam nzima-yalienda kubeba wana CCM na CUF
Sio WAKAZI Wa kinondoni wengine tumeletwa na MABASI toka kigamboni
Afu bungeni ndo mnatuletea matejaAcheni kelele nyumbu subirini dawa iingie![]()
![]()
Sombeni na nyie basiMalori yalitusomba kutoka kigamboni
Swissme
Sombeni na nyieHapo wakazi wa kinondoni ni %2 tu. Waliobaki malori yanawahusu
Hii siyo habari njema hata kidogo!mtamlaumu nani safari hii sasa jamani!!!?Leo mpaka police wameondoa mabango yenu yaani hamkubaliki mnalazimisha tu
Fainali ni matokeo ya uchaguzi tusubiri,cdm mnachonga tu jf badala ya kupiga kampeni liveHii siyo habari njema hata kidogo!mtamlaumu nani safari hii sasa jamani!!!?
Sisi tunaenda wenyewe atubebwi na maroliSombeni na nyie
Hivi na kura watasombwa wakapigie kndoni eti?
Mbaazi zikikosa maua bwana
Kama mnavyoenda kufa now hambebwiSisi tunaenda wenyewe atubebwi na maroli
Mwenye kqnzu ni nan merk sadick auWatu wenyewe chokaa ile mbaya.
hizi picha ni za mgombea uraisi 2015 wa ccm . tunamuona magu hapo akiomba kura. acheni uongo wa photo shopKama mjumbe wa Kamati ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam niseme asante wana kinondoni kwa kuonyesha uzalendo wa Hali ya juu kwa kufika kwa wingi katika ufunguzi wa Kampeni wa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la kinondoni ndugu Maulid Mtulia.
Ombi langu kwenu wana kinondoni tuendeleze moyo huu mpk tarehe 17 February 2018 kwa kuchagua Mgombea wa chama cha Mapinduzi ndugu Maulid Mtulia kuwa Mbunge wetu.
Kwa maendeleo ya Jimbo letu jawabu ni Maulid Mtulia, Elimu bila malipo, madawa hospitalini, maji bwerere na kikubwa ni Amani na Utulivu ktk Jimbo letu.
Chagua Mtulia chagua Amani yako na familia yako nyumbani mwako.
Wembe ni ule ule ushindi.
Asante sana Dr Mwigulu Nchemba kwa hotuba nzuri iliyojaa hekima na Busara hakika ccm ina vijana mahiri sana.
Sisi team ya kampeni tunawahidi wanaccm kote nchini kuleta ushindi mapemaaaa tena tutafunga Goli la tikitaka huku tumevaa msuli.
Kinondoni 2018 ni Maulid Mtulia
Kidumu chama cha Mapinduzi.![]()
![]()
![]()
Sijui wamemuokota wapi huyo jamaa.Mwenye kqnzu ni nan merk sadick au
Umetoa somo zuri sana.Kwani wananchi walilazimishwa kwenda?
My take: wana mabadiliko waendelee na kampeni kwa mikakati,sera na agenda za wazi.They have to deal with "ideas" and not people.Waache kumtaja Msaliti and the like...watoe kile wanachokikusudia kukifanya.Watumie experience ya majimbo mengine ya jirani i.e Kibamba,Ubungo n.k.
Huu ni wakati wa kuwaelimisha wananchi wa Kinondoni.Hatuwezi kufuja fedha za umma kwa chaguzi ambazo hazikuwa na ulazima....wananchi waombwe kura badala ya "kulalamika" kwamba no democracy and whatever.