Tumesikia repoti ya Mdhibiti na Mkaguzu Mkuu wa serikali (CAG) ilivyoweka wazi ubadhirifu wa matrilioni ya fedha za watanzania. Inasikitisha kuona jinsi fedha za maskini wa nchi hii zikitumika vibaya na kuishia matumboni kwa wachache.
Chama tawala kimekuwa kikijinasibu kama msimamizi wa serikali katika kuleta maendeleo ya nchi yetu. Kwa upigaji ulioibuliwa na CAG, watanzania tuchukue hatua dhidi ya CCM kwani wanahusika na ubadhirifu huu.
Kuendelea kushabikia CCM ni kuendelea kutaka kuona madudu ya kiuongozi kila mwaka.
Chama tawala kimekuwa kikijinasibu kama msimamizi wa serikali katika kuleta maendeleo ya nchi yetu. Kwa upigaji ulioibuliwa na CAG, watanzania tuchukue hatua dhidi ya CCM kwani wanahusika na ubadhirifu huu.
Kuendelea kushabikia CCM ni kuendelea kutaka kuona madudu ya kiuongozi kila mwaka.