Chama cha conservative cha Cameroon na CHADEMA

Cameroon aliongea hapa mbele ya JK na wala hakuongea haya mbele CDM, hivyo urafiki wa CDM haupo ktk ushoga kama mkutano wa huo aliohudhuria JK, IKUMBUKWE cdm ina urafiki na vyama vingi barani Africa na ulaya na hata AUSTRALIA
 
Kuna mambo yameshaanza kuumiza vichwa vya serikali ya kikwete, wanakuja na utetezi dhaifu kwamba hawakubali misaada ya UK kwa hoja ya ushaga.
Je UK ingekuja na hoja ya kutupa maiti barabarani huko North Mara kitu ambacho ni moja ya kukosa haki za binadamu serikali hii hii ingekuja na utetezi gani kama si kujitetea kwa kusema kuingilia mambo ya ndani ya nchi?
 
Viongozi wa chadema huwa wa kwanza kuwasemea wananchi mbona katika hili wapo kimya ?au ndio ajenda waliyokua nayo chini ya kapeti wakichukua hatamu?dili limeshabumbuluka.
 
Naloli heshima yako Mkuu! Mchango wako umetulia sana sana! Tunataka Michango kama hii hapa JF! Tungechangia hivi bila unazi wa wa Ki-CDM au Ki-CCM JF ingewasaidia Watanzania! You are the Great Thinker of the Year 2011! Hongera sana!
 
Nauliza swali eti ule undugu wa CHADEMA NA CHAMA CHA CONSERVATIVE kinachohimiza tuoane bado upo?na je chadema wanapataje misaada toka chama hichi kama masharti ndo hayo?
Swali hili muulize JK . Mbona unauliza swali la kimasaburi?
 
 
Nauliza swali eti ule undugu wa CHADEMA NA CHAMA CHA CONSERVATIVE kinachohimiza tuoane bado upo?na je chadema wanapataje misaada toka chama hichi kama masharti ndo hayo?
Swali hili muulize JK . Mbona unauliza swali la kimasaburi?
 
Nauliza swali eti ule undugu wa CHADEMA NA CHAMA CHA CONSERVATIVE kinachohimiza tuoane bado upo?na je chadema wanapataje misaada toka chama hichi kama masharti ndo hayo?

Kuna thread humu JF ilisema cdm inaundugu na christian democratic party ya ujerumani naona sasa ni conservative party ya uingereza? Kesho itakuwa National Party ya makaburu wa RSA
 
Hizo ni sera za Conservative, chama cha Labour cha kina Tony Blair marufuku mashoga

Na mwenyekiti wenu kuhongwa suti na wanaume wa Kiarabu tuuiteje, Mwenyekekit wenu nae Bwabwa??
 
Kuna thread humu JF ilisema cdm inaundugu na christian democratic party ya ujerumani naona sasa ni conservative party ya uingereza? Kesho itakuwa National Party ya makaburu wa RSA

Kwani uwongo? Usilete porojo kweli Chadema wana mauhusiano na Conservative na CDU..
 

Hapo nawakumbuka MATAKA,MUDHIHIR,MACHENI nk.nk hawa hawajifichi waanze nao
 
Kuna waingereza wanaopinga ushoga. Tuzungumzie katiba yetu, hii tipic inapoteza muda.
 
Nauliza swali eti ule undugu wa CHADEMA NA CHAMA CHA CONSERVATIVE kinachohimiza tuoane bado upo?na je chadema wanapataje misaada toka chama hichi kama masharti ndo hayo?


Hivi CCM kupitia serikali yake hawajawahi kupata msaada kutoka chama cha CONSERVATIVE?. Nahitaji kuelimishwa kidogo.
 

Wanajaribu mno kupotosha umma, shifting the general population's idea kuelekea kwenye mambo yasiyo hitaji mijadala, kila kitu kuchungu hapa bongo, hata chumvi inapaa bei, kashfa za akina Jairo, DOWANS kulipwa, TANAPA- na uuzaji wa wanyama mali ya asili, na nkupa sure mkuu, ipo siku hapa karibuni utasikia mlima Kilimanjaro umeuzwa, na hivi sasa waziri mkuu anatumika kufanya matangazo kampuni binafsi AIRTEL, yote haya wanajaribu kuya-camouflage na upuuzi huu! They better be wary, nchi sasa haitaki kuburuzwa!
 

Hauna hoja ndugu, kama vipi muandamane ili balozi wa Uingereza afukuzwe, sidhani kama anaiwakailisha nchi yake kwa CDM, na Cameron ni Waziri mkuu wa Uingereza, so anawakilisha nchi na siyo chama!!!! magamba mbona ni elimu ndogo sana hii??? au "DR" Kikwete huwa anawakilisha chama kule ankozurura? i mean anakofanya ziara? Halafu conservatives maana yake hata huo ushoga wanapinga mno THEY 'RE THE CONSERVATIVE! Huwezi kujibu hoja hapa wewe just recess!
 
naona hata wale marafiki zetu wa Ujerumani wameruhusu haya mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…