WANAJF,
Chama Kipya chenye usajili wa Muda CHAUMMA kimeendelea kujikusania wafuasi na wanachama wengi Dar Es Salaam na mikoani. Kwa Dar Es Salaam pekee wiki ya kwanza wanachama zaidi ya 45,000 walichukua kadi.Tunaamini zoezi litakamilika mapema kwani ni wanachama 2000 tu wanaohitajika na msajili wa vyama vya siasa kwa mikoa 10 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kupata usajili wa kudumu
Maandalizi kabambe yanapamba moto. Tovuti ya chama iko mbioni na maandalizi yote ya usajili kwa njia ya electronic kwa walioko nje ya nchi yanaendelea
Karibu CHAUMMA!
Chama Kipya chenye usajili wa Muda CHAUMMA kimeendelea kujikusania wafuasi na wanachama wengi Dar Es Salaam na mikoani. Kwa Dar Es Salaam pekee wiki ya kwanza wanachama zaidi ya 45,000 walichukua kadi.Tunaamini zoezi litakamilika mapema kwani ni wanachama 2000 tu wanaohitajika na msajili wa vyama vya siasa kwa mikoa 10 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kupata usajili wa kudumu
Maandalizi kabambe yanapamba moto. Tovuti ya chama iko mbioni na maandalizi yote ya usajili kwa njia ya electronic kwa walioko nje ya nchi yanaendelea
Karibu CHAUMMA!