Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
KAMATI KUU YA ACT WAZALENDO YAFANYA UTEUZI WA KUBORESHA SAFU YA UONGOZI WA KITAIFA
Katika kikao chake cha kawaida cha siku mbili (tarehe 9 na 10 Juni 2019) kinachoendelea jijini Dar es salaam, Kamati Kuu ya Chama imefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa kitaifa ili kuboresha safu ya uongozi wa kitaifa wa Chama.
Viongozi walioteuliwa na Kamati Kuu ni wafuatao;
A. Mshauri Mkuu wa Chama
Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad
B. Wajumbe wa Kamati Kuu
1. Ndugu Theopista Kumwenda
2. Ndugu Mwajabu Dhahabu
3. Ndugu Fatma Fereji
4. Ndugu Eddy Riyami
C: Wenyeviti wa Kamati za Kitaifa
1. Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Miradi:
Ndugu Nassor A. Marzurui
2. Mwenyekiti wa Kamati ya Itikadi, Mawasiliano na Uenezi
Ndugu Salim A. Bimani
3. Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi
Ndugu Joram Bashange
4. Mwenyekiti wa Kamati ya Oganaizesheni, Mafunzo na Wanachama
Ndugu Mhonga Ruhwanya
5. Mwenyekiti wa Kamati ya Mikakati, Usimamizi na Ufuatiliaji
Ndugu Ismail Jussa
D: Makatibu wa Kamati za Kitaifa
1. Katibu wa Kamati ya Oganaizesheni, Mafunzo na Wanachama
Ndugu Shaweji Mketo
2. Katibu wa Kamati ya Katiba na Sheria
Ndugu Kulthum Mchuchuli
3. Katibu wa Kamati ya Uadilifu
Ndugu Mbarala Maharagande
4. Katibu wa Kamati ya Mikakati, Usimamizi na Ufuatiliaji
Ndugu Rachel Kimambo
Imetolewa na Ado Shaibu, Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi, ACT Wazalendo.
Tarehe 10 Juni 2019.
Katika kikao chake cha kawaida cha siku mbili (tarehe 9 na 10 Juni 2019) kinachoendelea jijini Dar es salaam, Kamati Kuu ya Chama imefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa kitaifa ili kuboresha safu ya uongozi wa kitaifa wa Chama.
Viongozi walioteuliwa na Kamati Kuu ni wafuatao;
A. Mshauri Mkuu wa Chama
Ndugu Maalim Seif Shariff Hamad
B. Wajumbe wa Kamati Kuu
1. Ndugu Theopista Kumwenda
2. Ndugu Mwajabu Dhahabu
3. Ndugu Fatma Fereji
4. Ndugu Eddy Riyami
C: Wenyeviti wa Kamati za Kitaifa
1. Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Miradi:
Ndugu Nassor A. Marzurui
2. Mwenyekiti wa Kamati ya Itikadi, Mawasiliano na Uenezi
Ndugu Salim A. Bimani
3. Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi
Ndugu Joram Bashange
4. Mwenyekiti wa Kamati ya Oganaizesheni, Mafunzo na Wanachama
Ndugu Mhonga Ruhwanya
5. Mwenyekiti wa Kamati ya Mikakati, Usimamizi na Ufuatiliaji
Ndugu Ismail Jussa
D: Makatibu wa Kamati za Kitaifa
1. Katibu wa Kamati ya Oganaizesheni, Mafunzo na Wanachama
Ndugu Shaweji Mketo
2. Katibu wa Kamati ya Katiba na Sheria
Ndugu Kulthum Mchuchuli
3. Katibu wa Kamati ya Uadilifu
Ndugu Mbarala Maharagande
4. Katibu wa Kamati ya Mikakati, Usimamizi na Ufuatiliaji
Ndugu Rachel Kimambo
Imetolewa na Ado Shaibu, Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi, ACT Wazalendo.
Tarehe 10 Juni 2019.