Sun Wukong
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 1,152
- 2,300
Kututafuta ubaya tu, tukikuban aaahMods kufuta nyuzi tu, kufanya wanayoambiwa ahaaa
Kututafuta ubaya tu, tukikuban aaahMods kufuta nyuzi tu, kufanya wanayoambiwa ahaaa
Kweli we ni Andazi 🤣🤣Kalegeza macho tayari, kabakiza kulia aaah
Kazi kunifakamia bila chai, nikikukaba aaahKweli we ni Andazi 🤣🤣
Kuchamba tu ila kupigwa ban aaaaaaahKazi kunifakamia bila chai, nikikukaba aaah
Kula tu, kwenda chooni aahKuchamba tu ila kupigwa ban aaaaaaah
😂😂😂😂 Yani hata nikiulizwa nacheka nini sijui .. Sasa hiyo ndiyo nini? Wewe ni andazi bichi kabisa.Kalegeza macho tayari, kabakiza kulia aaah
JF tu insta aaah
Mwanaume umbea tu ila kazi aaaah
Mambo yako. Ningekukosa hapa sijui ingekuajeKukesha bar ila kanisani/msikitini aaaah
Ungenipata kule chimbo mheshimiwaMambo yako. Ningekukosa hapa sijui ingekuaje
Hapa tu ilibidi Uzi ufike mwishoKuiba idea za wenzio tu, kutunga zako aaah
Kutishia watu maisha tu, ustaarabu aaaahKututafuta ubaya tu, tukikuban aaah
Mkuu umbea tu, ila kutafuta pesa aaah😂😂😂😂 Yani hata nikiulizwa nacheka nini sijui .. Sasa hiyo ndiyo nini? Wewe ni andazi bichi kabisa.
Kufunga PM tu ila kuomba shoo na condom aahKutishia watu maisha tu, ustaarabu aaaah