GE2025 Chalamila: Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii

GE2025 Chalamila: Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii.

Albert Chalamila ameyasema hayo leo Oktoba 1, 2025 alipofanya ziara ya kushtukiza katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi, Kimara jijini Dar es Salaam kujionea hali ilivyo kituoni hapo.



 
Kujua kinachoendelea mpaka akajionee? Hata akikaa ofsini kwake Cha muhimu mabasi yaletwe haraka
 
Oyaa ishia hapo kwani siku zote mlikua wapi au CDM ndio wanaongoza nchi?
20250920_040450.jpg
 
Hata namna ya kuwajibu hawa watu mtu unashindwa, it's utter nonsense!!
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii.

Albert Chalamila ameyasema hayo leo Oktoba 1, 2025 alipofanya ziara ya kushtukiza katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi, Kimara jijini Dar es Salaam kujionea hali ilivyo kituoni hapo.

Kachelewa wapi huyu
 
Back
Top Bottom