Chakula ni ibada kamili

hongera mtoa uzi kwelichakula ni ibada kamili nilimsikiliza vizuri mtumishi mbwambo alifundisha vizuri sana kwenye mkutano wake kkkt mbezi beach
 
huyu ana karma 3
1. Kachezea chakula
2. Kadhahaki roho zilizouliwa
3.kakosoa uumbaji
 
Hivi hawa wanawaza nini? Kufurahisha genge? Tena kwa dhihaka za kingono? Kutumia chakula?
 
Hiki chakula mpishi atakuwa marium BILIANI pasi na shaka
 
Mshana Jr makumbuka nikiwa mdogo kama unakula ukidondosha tonge unaambiwa liwekee na mboga juu maana waliotangulia (ancestors) wameomba /wananjaa. Niliamini hivyo kama mtoto japo siku hizi naona kama ilikua tu uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana kuna roho zinakula... Chakula hakianguki kwa bahati mbaya lakini pia sometimes kuna jambo unaepushiwa... Kama kupaliwa, uchafu nk
Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…