Uyoga kuna dizaini yake ya kupika!! Kule kijinin huwa tunautwanga unavokuja kuunga unaweka na karanga!! ni mtamu sana sanaUYOGA hii kitu hapana kwakweli
ni chakula kitamu sana hicho so usiseme ptuuuu..!! nichakula kitamu sana narudia tenaKande ptuuuuuuuuuuuuh
Duhuyoga kuna dizaini yake ya kupika!! Kule kijinin huwa tunautwanga unavokuja kuunga unaweka na karanga!! ni mtamu sana sana
The best comboNilikuwa siipendi hapo awalj hata sielewi nilianzaje kula ila ikiwa na maharage inakuwa tamu sana
Me pia mayaimi ni mayai lakin kuku namla mwenye dawa jaman anisaidie
hata ya kuchemshami ni mayai lakin kuku namla mwenye dawa jaman anisaidie
Pusha gani anasupply dawa za ukweli?Cocaine, heroin, bora tu nibaki na ganja zangu
Aliyegundua cabbage huyu aende motoni.
Duh ndio nasubiria nilitewe mzigo hapa. Tupo tofauti sana.Ngisi
Kweli kabisaDuh ndio nasubiria nilitewe mzigo hapa. Tupo tofauti sana.
Chips Kuku.,aisee mm sipendi kabisa,,Habari za Usiku wakuu..
Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi sitaweza kula na sijajua sababu ni ipi..
Je ni chakula Gani Hauwezi kula kabisa na wala kuonja kabisa !!?