nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari za Usiku wakuu.
Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi sitaweza kula na sijajua sababu ni ipi..
Je ni chakula Gani Hauwezi kula kabisa na wala kuonja kabisa !!?
Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi sitaweza kula na sijajua sababu ni ipi..
Je ni chakula Gani Hauwezi kula kabisa na wala kuonja kabisa !!?