Chakula kipi una mzio nacho au haupendi kula kabisa

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Jul 11, 2017
1,014
1,896
Habari za Usiku wakuu.

Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi sitaweza kula na sijajua sababu ni ipi..


Je ni chakula Gani Hauwezi kula kabisa na wala kuonja kabisa !!?
 
Duuh yoghurt ndo kinywaji changu pendwa!!!! Soda nikinywa hua nasikia kama kulewa fulani.


Ila ndizi mbichi au zilizochomwa zimenishinda kabisaaa..hata upikeje. Sili
Viazi mviringo ile harufu daah
Maziwa ya kuganda ndio yenye kuniletea taabu lakini haya packed hayaniumizi. Soda zinaniumiza na kunipanua mishipa ya kichwa, kulewa na kukosa isingizi.

Irish potatoes ndio chakula changu cha kwanza kisha wali pia ndizi. Ndizi mbivu kwa siku nakula 15.
 
Habari za Usiku wakuu..

Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi sitaweza kula na sijajua sababu ni ipi..


Je ni chakula Gani Hauwezi kula kabisa na wala kuonja kabisa !!?
Majani ya maboga jamani ile mboga ikipikwa kama vile unatafuna washawasha doh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom