Chakula Cha Valentine. Enjoy Lovers Club

Chakula Cha Valentine. Enjoy Lovers Club

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
487722_426655367420626_753606259_n.jpg
 
Hivi valentine day inachukua masaa mangapi? au siku ngapi?
 
Duuh hiyo mesi ya 2 na 3 ndo mpango mzima. Mbuzi Mzee weshakupeleka uhindini, hiyo yenye mapelepele menu lazima uweke fire extinguisher ukienda chooni.
 
Last edited by a moderator:
Unajua ule mtoko wetu wa jana niliweka order ya msosi kama huo, nilishangaa hata hukutokea aisee...

Duuh hiyo mesi ya 2 na 3 ndo mpango mzima. Mbuzi Mzee weshakupeleka uhindini, hiyo yenye mapelepele menu lazima uweke fire extinguisher ukienda chooni.
 
Last edited by a moderator:
Mambo niaje best....hope uko poa.
Yaani best kwa choice hiyo wewe utakua either ni Mchaga, Mhaya au Mnyakyusa maana hao raia kwa hiyo menu ndio wenyewe...

Yesu yangu, hapa nimefika...ndizi nyama mamawee!! iko penda sana hii msosi
 
Hii misosi inanikumbusha restaurants za huko Kuala Lumpar - Malaysia...

487722_426655367420626_753606259_n.jpg
 
Mambo niaje best....hope uko poa.
Yaani best kwa choice hiyo wewe utakua either ni Mchaga, Mhaya au Mnyakyusa maana hao raia kwa hiyo menu ndio wenyewe...

Powa kabisa rafiki..vp wewe? naamini wewe umeanza wikend salama!!
Mie kaskazini besti..ha ha..!!
 
hilo pilau ni hatare tupu yaani ndio nimemaliza kula sasa hivi..
 
Powa kabisa rafiki..vp wewe? naamini wewe umeanza wikend salama!!
Mie kaskazini besti..ha ha..!!

Mie niko poa sana tu...mmh kwangu weekend ikifika huwa natamani hata iwe ni siku 4.
Hahaha...nilihisi tu mpendwa maana hao ndio watani zangu, linapokuja suala la ndizi hakuna kulazia damu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom