sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,083
- 7,455
Hicho cheo kinawafaa wazinzibar hata uliowataja ni wazinzibar ndio maana wakafit kwenye nafasi hiyo.Mpango anatakiwa awe kama Samia alivyokuwa kipindi cha Jiwe au Bilal na Shein walivyokuwa kipindi cha Kikwete