Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
- Thread starter
- #41
Nini hasa maana ya chaguo la Mungu?
Ni aliyechaguliwa kwa matakwa ya Mungu. Huyu huchaguliwa na watu wengi bila hila wala udanganyifu na anakidhi vigezo 1-7.
Nini hasa maana ya chaguo la Mungu?
Ni wakati sahihi kwetu watanzania kujichagulia wenyewe chaguo la Mungu na si kuchaguliwa na wachache. Tumepata fundisho kuwa aliyedhaniwa kuwa chaguo la Mungu 2005 kumbe hakuwa. Si chaguo la Mungu kwa vile hasikii kilio cha watanzania walio wengi, haachani na mafisadi na haashi safari nyingi za nje kana kwamba maendeleo yetu yataletwa kwa safari zake. Rais wetu wa sasa afike mahali atambue kwamba nadharia ya maendeleo ya misaada imepitwa na wakati. Sayansi imekataa kuwa misaada kutoka nje inaleta maendeleo ya nchi.
Hatukupata chaguo la Mungu mwaka 2005 kwa vile tuliangalia sura ya mtu, tulisikiliza maneno matupu ya mgombea, hatukutafuta historia ya Mgombea, tulidanganywa na watu wachache kuwa tuna chaguo la Mungu kumbe la. Sasa nani changu la Mungu mwaka huu 2010. Ni huyu hapa:
1. Aliyethibitika wazi si kwa hisia kuwa amelinda maliasili ya nchi- Maliasili
2. Aliyethibitika wazi si kwa hisia kuleta maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla wake
si kuiba huku na kupeleke kwa wapiga kura- Maendeleo ya kweli
3. Aliyethibitika kuwa hakuiba pesa za Watanzania ili kununua uongozi- Si mtoa
rushwa wala hakutumia pesa za wizi
4. Aliyethibitika wazi si kwa hisia kuwa ametetea katiba ya nchi yetu- Katiba
5. Alitethibitika wazi kuwa anaipenda nchi yetu si kuleta wezi Tanzania kwa jina la
wawekezaji- Mpenda nchi
6. Aliyethibitika wazi kuwa ana dira sahihi ya elimu- si ubabaishaji wa maboma ya
shule za kata-Elimu bora
7. Aliyethibitika wazi kuwa anajali utu wa Watanzania si muigizaji huku anaenda
safari akiacha watanzania wakilipukiwa na mabomu, wakifukiwa na milima,
wakisombwa na mafuriko, wakifa njaa- Anayejali utu si msanii
Mjomba toa sababu za msingi za wapendekeza hao. Jaribu kulinganisha na vigezo vilivyotolewa hapo juu utaona kuwa hawa jamaa zako kimsingi hawatufai. Ila ukweli ni kuwa ni wachache sana kama wapo wanaokidhi sifa tajwa lakini hawa jamaa zako duh, ni nje tu!nani, slaa, thubutu........................ ni JK kwa kwenda mbele................. rekodi yake ya utendaji inajieleza..................... napendekeza mgombea mwenza awe sophia simba ili amshauri kwa karib zaidi kuhusu uharaka wa kuchukua hatua inapolazimu kufanya maamuzi magumu................................
Bwana mdogo,
Mungu ametupa akili na utashi ili tuwe huru kujichagulia ama kujiamulia mabaya na mazuri. Mungu hatuchagulii viongozi, na kama atatuchagulia basi atatupa viongozi bora na waadilifu. Maneno ya chaguo la mungu ni propaganda za kisiasa ambazo zilitumika 2005 kumweka JK madarakani. Sasa ni wakati wa kupima nini amewafanyia watanzania?, je kuna haja ya kumpa miaka mingine mitano?, kama ni ndiyo ama hapana kwanini?.
Ni wakati sahihi kwetu watanzania kujichagulia wenyewe chaguo la Mungu na si kuchaguliwa na wachache. Tumepata fundisho kuwa aliyedhaniwa kuwa chaguo la Mungu 2005 kumbe hakuwa. Si chaguo la Mungu kwa vile hasikii kilio cha watanzania walio wengi, haachani na mafisadi na haashi safari nyingi za nje kana kwamba maendeleo yetu yataletwa kwa safari zake. Rais wetu wa sasa afike mahali atambue kwamba nadharia ya maendeleo ya misaada imepitwa na wakati. Sayansi imekataa kuwa misaada kutoka nje inaleta maendeleo ya nchi.
Hatukupata chaguo la Mungu mwaka 2005 kwa vile tuliangalia sura ya mtu, tulisikiliza maneno matupu ya mgombea, hatukutafuta historia ya Mgombea, tulidanganywa na watu wachache kuwa tuna chaguo la Mungu kumbe la. Sasa nani changu la Mungu mwaka huu 2010. Ni huyu hapa:
1. Aliyethibitika wazi si kwa hisia kuwa amelinda maliasili ya nchi- Maliasili
2. Aliyethibitika wazi si kwa hisia kuleta maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla wake
si kuiba huku na kupeleke kwa wapiga kura- Maendeleo ya kweli
3. Aliyethibitika kuwa hakuiba pesa za Watanzania ili kununua uongozi- Si mtoa
rushwa wala hakutumia pesa za wizi
4. Aliyethibitika wazi si kwa hisia kuwa ametetea katiba ya nchi yetu- Katiba
5. Alitethibitika wazi kuwa anaipenda nchi yetu si kuleta wezi Tanzania kwa jina la
wawekezaji- Mpenda nchi
6. Aliyethibitika wazi kuwa ana dira sahihi ya elimu- si ubabaishaji wa maboma ya
shule za kata-Elimu bora
7. Aliyethibitika wazi kuwa anajali utu wa Watanzania si muigizaji huku anaenda
safari akiacha watanzania wakilipukiwa na mabomu, wakifukiwa na milima,
wakisombwa na mafuriko, wakifa njaa- Anayejali utu si msanii
Mbowe kagombea Urais mara ngapi hizo unazoita kadhaa?Mimi naona suala sio kushinda pekee, hata kama atashindwa lakini naona ataleta changamoto kubwa kwa JK katika uchaguzi kuliko kiongozi mwingine yeyote katika upunzani, na hata asilimia watakazopata wapinzani katika urais na ubunge zitaongezeka sababu ya changamoto yake. Hatapotea ila upinzani utaimarika. Lipumba, Mbowe wamegombea urais mara kadhaa ,hivyo hawapo bungeni, je tumewapoteza? I dont think so
We ni mgonjwa wa kichwa na mahali unafaa kupelekwa ni Milembe.Slaa= Idd Amin