Chagua mchepuko hapa!

Nafasi ipo wazi kwangu kama kuna mdada anataka kunichepua karibu sana.
 
Ukifika kwenye ngoma, usianze kuuliza, cha kufanya sikiliza mdundo weka madoido yako anza kuukata kiulaini bila bughudha.

Namaanisha.

Mtu kaweka thread yake hapo, we usianze kuuliza cha kufanya fuata maelezo ya mtoa thread, ukiona kuwa huendani nayo skip and move on to next thread, so ukianza kusumbuka kuchambua sijui who, when why, it is westage of time which doesn't bring sense in mind.

Alotoa thread ana maana yake, thus katoaa.

Life is harder when yourself try to be harder.
 
Ukifika kwenye ngoma, usianze kuuliza, cha kufanya sikiliza mdundo weka madoido yako anza kuukata kiulaini bila bughudha.

Namaanisha.

Mtu kaweka thread yake hapo, we usianze kuuliza cha kufanya fuata maelezo ya mtoa thread, ukiona kuwa huendani nayo skip and move on to next thread, so ukianza kusumbuka kuchambua sijui who, when why, it is westage of time which doesn't bring sense in mind.

Alotoa thread ana maana yake, thus katoaa.

Life is harder when yourself try to be harder.
Umenena vyema mkuu
 
Back
Top Bottom