Chagonja na sinema ya mwaka!

Chagonja na sinema ya mwaka!

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.
Utashirikianeje na chombo ambacho kimeshindwa kabisa kushirikiana na raia kwa kisingizio cha amri kutoka juu. Polisi ina ushirikiano na watoa amri kutoka juu na siyo raia. Hao watoa amri kutoka juu ndiyo wafanye kazi na washirika wao polisi. Polisi wenyewe wameota matumbo kama wamevimbiwa mawe, hawawezi kazi ngumu zaidi ya kuwapiga akina Lipumba. Ngoja wale kichapo huko Tanga
 
Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.

Mkuu hata ingelikuwa kuwa magaidi yapo hapo Tanga. CCM na serekali yake haina njia ya kuikwepa lawama. Sera ya udini na ukabila iliratibiwa na ccm baada ya kukosa sera.

Wamewahonga Waislam Kidatu Tanesco waanzishe chuo kikuu, wamewaahidi mahakama ya kadhi kitu ambayo ni ngumu kuipewa, wamewaahidi OIC weye upo wapi?

Sasa mtaitoa hiyo mahakama mtake msitake. Sasa mtatii mashart hayo. Wanataka kuliingiza jeshi kulinda ccm dhidi ya upinzani
 
Duh, kweli Tanzania ni balaa. Magaidi wamejitokeza siku moja tu wameshambulia alafu wametokomea. Cha ajabu sasa, gaidi Kavaa yebo yebo! Mungu nipe uzima nizidi kuona mengi mwaka huu.
Shangaa ndugu!
 
mangatara

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.

Kuna ushilikiano zaidi ya kutoa majina tegeta escro ya mkombozi bank pesa zilikwenda kwa nani ili twendeLee kutoaushilikiano. Au unadhani bado watu mazuzu
 
Last edited by a moderator:
Ni mkakati ulishindwa kabla ya kuanza.Haiwezekani mhalifu aliyekuwa chini ya ulinzi apotee kizembe huko nikuliweka uchi jeshi la polisi.All in all lengo nikupiga marufuko mikusanyiko ya kuupa umma elimu ya katiba na uchaguzi ujao.TUMESHTUKA!
 
Wakumbuke "to every action there is an equal and opposite reaction" wanatengeneza magaidi wa kufeki ipo siku watakuja kuwadhulu wao wenyewe.

Duh, third law of motion, unanikumbusha mbali but ndo application nini kamanda
 
mangatara

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.

TuntemekeSanga;
Laiti mwenye jina hilo angekuwa na uwezo kusema. Tunamkumbuka, alivyokuwa anaizuia shilingi mpaka waziri wa wizara husika anajibu kisawasawa. Leo mawaziri wanajibu ka watakavyo tena kwa dharau kuubwa ati swali limetoka upinzani.
To the point.
Nasema, hakuna jinsi ccm wataepuka shutuma hizi. Marekani walianzisha Al-Qaida. Wakiwa na nia nzuri tu. Walipokuja kumng'oa Mrusi, jamaa wakawageuka.
Tz tuliona mabomu yakitupwa makanisani na mikutanoni Arusha. CCM waka kebehi kuwa ni Mbowe alijirushia kutaka umaarufu. Mpaka leo kile ni kitendawili.
Leo, tunasema Chagonja kajilipua mwenyewe, hakuna gaidi. Kwani picha ya askari wetu aliye umizwa kwa nini wasiruhusu tumwone? Mbona wale vijana walio nyang'anywa bunduki mliruhusu wakapigwa picha. Hao wa leo zitaungua???
Tumemchoka Chagonja ni vitu vyake vizito. Tumemchoka na bomu kurushwa na upinzani.
Nkisema hivyo mwasema ati ni uchochezi. Uchochezi ni kuficha habari, kiu ya kuipata hiyo habari itawaua watu wenye mapenzi mema.
Ushabiki wako kwa hilo lichama hauna mantiki kabisaaaaa
 
Unajivamia,unajiteka,unajitorosha,unajisaka na hatimaye unatangaza kujitafuta kwa udi na uvumba.Matukio yote haya haya hayana majina ya waathirika.

Kweli siasa zimefikia mahala pake!Tutashuhudia mengi 2015.

mkuu hii kitu ilijadiliwa sana mwaka jana kuwa kujiteka utakuwa mkakati mojawapo utakaozaa katazo la mikusanyiko.Sasa ni dhahiri mleta mada Wakati ule alikuwa keshafanya homework yake kisawasawa.Nadhani ni mkakati ulioshindwa tayari
 
Duh, kweli Tanzania ni balaa. Magaidi wamejitokeza siku moja tu wameshambulia alafu wametokomea. Cha ajabu sasa, gaidi Kavaa yebo yebo! Mungu nipe uzima nizidi kuona mengi mwaka huu.

Yaani uongo wa kijinga kabisa lakini ni mbinu kuwa hali usalama siyo shwari ili kuvikatalia vyama vya upinzani kufanya mikutano UKAWA kuweni makini na hujuma hizi
 
Kihuni inaitwa kujipiga puchu
Hahahahaha huyo ndio Chagonja Mkuu. Na bado tutaona mengi mwaka huu.Lakini wanasahau kuwa watanzania Wa Leo sio Wa mwaka 2000 . CCM wana kazi sana. Naomba Mungu awape ujasili waachie nchi kwa amani.
 
Duh, kweli Tanzania ni balaa. Magaidi wamejitokeza siku moja tu wameshambulia alafu wametokomea. Cha ajabu sasa, gaidi Kavaa yebo yebo! Mungu nipe uzima nizidi kuona mengi mwaka huu.

Labda huyu gaidi ana miujiza kama yesu kwa sababu gaidi anapigana msituni na amevaa yeboyebo lkn atobolewi na miiba kabisa na wanaweza kupigana na askari wetu
 
Hivi, kwa akiri ya kawaida tu mapambano ya polisi na hao wanaoitwa magaidi hakuna majeruhi wala vifo upande wa magaidi? mbona hili jeshi letu linataka kutugeuza watanzania kama matahila vile? wao waue, wajeruhi ila wao wsikamatwe hata mmoja na watumike mpka Jwtz?[/QUO
 
Islamic State liliundwa na marekani kupambana iraq na syria kwa makubaliano ila walipokiuka wakatumia silaha zilezile kuuwa wamarekani.
Sasa km kuna mchezo km huu wa kishenzi basi wahusika waadhibiwe kabisa na wajue kuwa watz wa leo sio wa jana
 
Ushirikiano upi wakati wao wenyewe kauli zao zinatofautiana. Huyu anasema bvile na yule anasema hivi? Kama kitu ni kweli kwanini wawe na kauli ambazo zinakinzana katika habari hii? Hakuna anayefanya ushabiki watu wanaandika ukweli kutokana na hawa polisi kudanganya umma wa Watanzania mara nyingi tu na ushahidi wa uongo wao upo wa kutosha.

Mkuu BAK unajua jana nilipata mashaka pengine masikio yangu yamepata ugonjwa wa kubadili maneno hivyo ninamsikia Chagonja tofauti na anavyosema. Kwamba askari saba wamejeruhiwa na mmoja amefariki dunia. Na kwamba magaidi hayo yanatumia silaha za kivita. Na kwamba pia hakuna gaidi hata mmoja aliyekamatwa wala kuuwawa na hakuna silaha zilizokamatwa. ILA HALI NI SHWARI NA WANANCHI WAENDELEE NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA. My foot! Hujakamata "hizo silaha za kivita" then unasema hali ni shwari? Huku askari kafa! Nchi yangu ni ya ajabu sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom