mungu ibarikii tanzania wabariki viongozi wake heshima umoja na amaniii hizi ni ngao zetuu africa na watu wake ibarikiii tanzania unarudia kidogoahapoooooo naa watuwake,,,mpwa mkweo wa kv hukohuko
hizi no moja ya film zilizotengenezwa nchin Tanzania kwa lengo LA kujikwamua kiuchumi kwa bahat mbaya zimeshindwa kufanya vizur sokon hii no kutokana na baadhi ya wahusika na production nzima kuwa chin ya kiwango,tunaomba mawazo ya wadau nini kifanyike au wahusika gani waongezwe ili kufanya film kama hzo ziwe heat
Unajivamia, unajiteka, unajitorosha, unajisaka na hatimaye unatangaza kujitafuta kwa udi na uvumba. Matukio yote haya haya hayana majina ya waathirika.
Kweli siasa zimefikia mahala pake! Tutashuhudia mengi 2015.