Chagonja na sinema ya mwaka!

Chagonja na sinema ya mwaka!

mangatara

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.
Mkuu unapokuwa umeaminiwa na jamii kwa kiwango kama CCM ilivyokuwa imeaminiwa na watz basi inatakiwa uheshimu sana wanaokuamini, ulinde imani hiyo na uwe na mpango wa kuimarisha. Lakini ukianza kuitumia vibaya kwa maslahi binafsi ni wazi imani hiyo itatoweka na ikitoweka imani ya jamii kwako basi kila kitu huwa kigumu kwako.
Bahati mbaya CCM wanaendelea na tabia yao ya siasa za maji taka sasa wewe subiri mwisho wake, wanaccm ndio watakuwa waathirika nambari moja japo tutaathirika wengi pia. Yaani CCM wanataka waendelee kufanya madudu halafu watu wavumilie tu kwasababu eti mabadiliko yanaweza kuvunja amani, hicho kitu hakiwezekani na sasa inaonesha watu wanayahitaji mabadiliko bila kujali yatakuwa ya aina gani. Hivyo ccm walitakiwa kwasasa watii mahitaji ya jamii wasichelewe kama walivyochukua muda mrefu huko Zanzibar, na kimsingi rasimu ya warioba ndio ilikuwa mwanzo mzuri na walichotakiwa wakifanye ccm ni kuziongezea nguvu taasisi za muungano lakini sio kuvuruga structure nzima.
 
kwa hiyo unatuhakikishia ugaidi utaendelea?tena unasisitiza kwa uchungu kabisa?sasa nakubaliana na akina Yericko kuwa hii ni planned issue.

Mahala fulani huko Kakonko-Kigoma (mwaka jana) yalivumbuliwa mabomu mazito na wananchi waliokuwa wakichimba mtaro wa maji.

JW waliitwa kuja kuyategua. Teh! yaani Raia walijazana hapo kama vile wako Uwanja wa Taifa kwenye maadhimisho fulani(pamoja na onyo/kalipio lililokuwa likitolewa).

Usijaribu kuonja sumu kwa kuiramba. Hata Nigeria yalianza hivihivi, "critical-thinkers" kama nyie wakawa wanayajadili easily tu kama hivi nakuhusisha matukio na propaganda za serikali tawala.

And what is going on now over there, i can not mention it as you also aware of it.
Thanks!
 
Utashirikianeje na chombo ambacho kimeshindwa kabisa kushirikiana na raia kwa kisingizio cha amri kutoka juu. Polisi ina ushirikiano na watoa amri kutoka juu na siyo raia. Hao watoa amri kutoka juu ndiyo wafanye kazi na washirika wao polisi. Polisi wenyewe wameota matumbo kama wamevimbiwa mawe, hawawezi kazi ngumu zaidi ya kuwapiga akina Lipumba. Ngoja wale kichapo huko Tanga

Very arrogant narration. Mh!

Yaani unachangia mada as if hauishi ndani ya Taifa hili.

Ok!, wakisha kula kichapo huko Tanga na wewe(raia wa kawaida kama mimi) ubaki na hari gani?

Think-Big!
 
Kuna ushilikiano zaidi ya kutoa majina tegeta escro ya mkombozi bank pesa zilikwenda kwa nani ili twendeLee kutoaushilikiano. Au unadhani bado watu mazuzu

Mh!

Hilo nalo neno Mkuu. Lakini ktk issue hii, si vyema kufanya mzaha na kubeza mapambano yanayofanywa na DOLA huko Tanga & maeneo mengine.

It is going to cost the Country.
 
Mkuu Chakaza tuiombee nchi yetu dhidi ya huu uhuni unaotaka kufanywa na hawa wahuni. Hapo kwenye rangi haiingii akilini mtu atoe kauli mbili ambazo kwa kweli zinaacha maswali mengi sana kwa Wananchi. Rais wa nchi yuko wapi kwenye swala hili ili azungumze nini kinachoendelea? Au kama kawaida hayamhusu anaendelea kupiga kimya tu huku kukiwa na maswali mengi ambayo hayana majibu.

Mkuu BAK unajua jana nilipata mashaka pengine masikio yangu yamepata ugonjwa wa kubadili maneno hivyo ninamsikia Chagonja tofauti na anavyosema. Kwamba askari saba wamejeruhiwa na mmoja amefariki dunia. Na kwamba magaidi hayo yanatumia silaha za kivita. Na kwamba pia hakuna gaidi hata mmoja aliyekamatwa wala kuuwawa na hakuna silaha zilizokamatwa. ILA HALI NI SHWARI NA WANANCHI WAENDELEE NA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA. My foot! Hujakamata "hizo silaha za kivita" then unasema hali ni shwari? Huku askari kafa! Nchi yangu ni ya ajabu sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hata ingelikuwa kuwa magaidi yapo hapo Tanga. CCM na serekali yake haina njia ya kuikwepa lawama. Sera ya udini na ukabila iliratibiwa na ccm baada ya kukosa sera.

Wamewahonga Waislam Kidatu Tanesco waanzishe chuo kikuu, wamewaahidi mahakama ya kadhi kitu ambayo ni ngumu kuipewa, wamewaahidi OIC weye upo wapi?

Sasa mtaitoa hiyo mahakama mtake msitake. Sasa mtatii mashart hayo. Wanataka kuliingiza jeshi kulinda ccm dhidi ya upinzani

Mkuu;
Sijajua sasa hapa nikujibu ktk aspect gan! Maana naona habari ya UDINI, then mwisho unaweka WAPINZANI. Which is which?

Any ways, issue ya ahadi ya OIC, KADHI's COURT, CHUO e.t.c kwa waislam ni issue tata na MTAMBUKA. Inawezekana CCM wamefanya ahadi izo kwa shinikizo au namna yoyote ile kama hiyo.

Suala linabakia kuwa, vitu kama OIC & MAHAKAMA YA KADHI ni mambo Mtambuka kwa maana yakwamba yanahitaji maridhiano ya Kitaifa. Kwa maneno mengine unaweza kusema ni mambo "Nyeti!". Sioni sababu ya serikali kushindwa kuratibu mipango hiyo kisayansi na kimjumuisho(consulting all groups & the community in general). Vinginevyo haitapendeza.

Kuna mtu amewahi leta uzi mzuri sana humu ndani ukihusu halihalisi ya mambo hayo mawili na ushauri kwa serikali juu ya kujiandaa na kufanya makubaliano yakutosha kama Taifa.

Lakini, hata kama CCM itatoka madarakani , chama au serikali yoyote itakayoingia madarakani, naamini itakuwa na changamoto kubwa mno, tena sana juu ya masuala haya mawili(kutokana na Nature ya Watanzania ninaowajua).

Habari kuogopa wapinzani, si kweli. Sababu kubwa za mambo hayo ni kama nilivojaribu kukueleza hapo juu.

Thanx!
 
mangatara

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.
Mikwara kibao ! Hivi vile ' VITU VYA NCHA KALI ALIVYOKUWA ANAVITANGAZA CHAGONJA ENZI ZILE VILIKUWA NA UKWELI GANI ? ' unataka tumuamini kwa lipi ?
 
Last edited by a moderator:
Uroho wa madaraka unawafanya CHADEMA kupinga kila jema linalofanywa na CCM kwa watanzania.
Jiheshimu we baba, ccm haina nia njema kwa nchi hii hata kidogo, ni mashetani yenye sura ya kibinadamu bora TANU
 
TuntemekeSanga;
Laiti mwenye jina hilo angekuwa na uwezo kusema. Tunamkumbuka, alivyokuwa anaizuia shilingi mpaka waziri wa wizara husika anajibu kisawasawa. Leo mawaziri wanajibu ka watakavyo tena kwa dharau kuubwa ati swali limetoka upinzani.
To the point.
Nasema, hakuna jinsi ccm wataepuka shutuma hizi. Marekani walianzisha Al-Qaida. Wakiwa na nia nzuri tu. Walipokuja kumng'oa Mrusi, jamaa wakawageuka.
Tz tuliona mabomu yakitupwa makanisani na mikutanoni Arusha. CCM waka kebehi kuwa ni Mbowe alijirushia kutaka umaarufu. Mpaka leo kile ni kitendawili.
Leo, tunasema Chagonja kajilipua mwenyewe, hakuna gaidi. Kwani picha ya askari wetu aliye umizwa kwa nini wasiruhusu tumwone? Mbona wale vijana walio nyang'anywa bunduki mliruhusu wakapigwa picha. Hao wa leo zitaungua???
Tumemchoka Chagonja ni vitu vyake vizito. Tumemchoka na bomu kurushwa na upinzani.
Nkisema hivyo mwasema ati ni uchochezi. Uchochezi ni kuficha habari, kiu ya kuipata hiyo habari itawaua watu wenye mapenzi mema.
Ushabiki wako kwa hilo lichama hauna mantiki kabisaaaaa

Mkuu;
Naamini hii busara hapa chini itakusaidia sana,wewe pamoja na wenzako.
 

Attachments

  • 1424031067329.jpg
    1424031067329.jpg
    30.3 KB · Views: 327
Mkuu;
Naamini hii busara hapa chini itakusaidia sana,wewe pamoja na wenzako.

Hivi Kati ya CCM na opposition parties nani anabomoa kiasi cha kushindwa kujenga?

Nani kabomoa maadili ya nchi hii?

Nani kabomoa miiko ya uongozi na kuasisi biashara ya siasa?

Nani kabomoa uchumi wa viwanda?

Huyo uliemweka muulize maswali haya....
 
Mahala fulani huko Kakonko-Kigoma (mwaka jana) yalivumbuliwa mabomu mazito na wananchi waliokuwa wakichimba mtaro wa maji.

JW waliitwa kuja kuyategua. Teh! yaani Raia walijazana hapo kama vile wako Uwanja wa Taifa kwenye maadhimisho fulani(pamoja na onyo/kalipio lililokuwa likitolewa).

Usijaribu kuonja sumu kwa kuiramba. Hata Nigeria yalianza hivihivi, "critical-thinkers" kama nyie wakawa wanayajadili easily tu kama hivi nakuhusisha matukio na propaganda za serikali tawala.

And what is going on now over there, i can not mention it as you also aware of it.
Thanks!

Boko haram ni state sponsored terror group, hii ya Tanga ni kichekesho ni kwa ajili ya kutafuta kula za waoga mwaka huu,

Hii sinema ya Amboni inachekesha, wakazi wa Amboni hawashituki na hawajawahi kuona hao magaidi lakini serikali inasema wapo inapeleka wanajeshi na polisi. Wachimbaji wa mchanga na madini mengine kwenye mapango ya Amboni wakihojiwa na ITV wanasema wanataka wanajeshi na polisi waondoke wenyewe waendelee kuchimba mchanga. Hii sinema hawakushirikisha wenyeji wa Amaboni
 
Mh!

Hilo nalo neno Mkuu. Lakini ktk issue hii, si vyema kufanya mzaha na kubeza mapambano yanayofanywa n
a DOLA huko Tanga & maeneo mengine.


Nani anabeza? Hivi kwa akili yako hiyo yakuvukia Barbara unaonaje police kuwa na nguvu yakudhibiti maandamano ya Amani yasiyo na silaha na kushindwa kudhibiti majambazi au ugaidi wenye madhara kwa watu?

Mbona kwenye maandamano huonesha mbwembwe za silaha nzito then wanatetemeshwa na watu wanne tu?

Dhamana iliyopewa serikali kulinda usalama iko wapi ikiwa police wanasalimu amri kwa majambazi??
It is going to cost the Country.


CCM na viongozi dhaifu ndio wanaoigharimu nchi kwakushabikia na kutenda upuuzi...

Mwigullu alionesha shupavu Sana wa kupambana na ugaidi na inaonesha aliutamani Sana mbona sasa anashindwa? Simnaweza kuwajua na kuwafichua magaidi mbona hawa mnawashindwa??
 
Mkuu unapokuwa umeaminiwa na jamii kwa kiwango kama CCM ilivyokuwa imeaminiwa na watz basi inatakiwa uheshimu sana wanaokuamini, ulinde imani hiyo na uwe na mpango wa kuimarisha. Lakini ukianza kuitumia vibaya kwa maslahi binafsi ni wazi imani hiyo itatoweka na ikitoweka imani ya jamii kwako basi kila kitu huwa kigumu kwako.
Bahati mbaya CCM wanaendelea na tabia yao ya siasa za maji taka sasa wewe subiri mwisho wake, wanaccm ndio watakuwa waathirika nambari moja japo tutaathirika wengi pia. Yaani CCM wanataka waendelee kufanya madudu halafu watu wavumilie tu kwasababu eti mabadiliko yanaweza kuvunja amani, hicho kitu hakiwezekani na sasa inaonesha watu wanayahitaji mabadiliko bila kujali yatakuwa ya aina gani. Hivyo ccm walitakiwa kwasasa watii mahitaji ya jamii wasichelewe kama walivyochukua muda mrefu huko Zanzibar, na kimsingi rasimu ya warioba ndio ilikuwa mwanzo mzuri na walichotakiwa wakifanye ccm ni kuziongezea nguvu taasisi za muungano lakini sio kuvuruga structure nzima.

Mkuu; pahala popote palipo na watu wawili au watatu, lazima watofautiane mawazo. Hata kama mtu au system fulani (eg.CCM kwa sasa) itakuwa na mazuri yapi, watapatikana watu kadhaa waku'disqualify.

Hata TANU & Nyerere mwenyewe huyu tunayemuenzi(R.I.P) alipata kujaribiwa. Kuna kundi fulani lilitaka kumpindua be it kwa nguvu au Kidemokrasia miaka hiyo na likapata idadi nzuri tu ya Watanzania kama ilivyo kwa upinzani waleo hii.

Siasa Majitaka zipo tele mle CHADEMA( Rejea Hotuba ya Z.KABWE kwa media kipindi cha mgogoro wao).

Tusihame sana mada. Tunajadili issue ya Tanga. Naona hapo hujagusia hata kidogo habari hiyo.

Thnx!
 
Mkuu Chakaza tuiombee nchi yetu dhidi ya huu uhuni unaotaka kufanywa na hawa wahuni. Hapo kwenye rangi haiingii akilini mtu atoe kauli mbili ambazo kwa kweli zinaacha maswali mengi sana kwa Wananchi. Rais wa nchi yuko wapi kwenye swala hili ili azungumze nini kinachoendelea?Au kama kawaida hayamhusu anaendelea kupiga kimya tu huku kukiwa na maswali mengi ambayo hayana majibu.


Yupo busy kuukabili UKAWA na LOWASA
 
Last edited by a moderator:
Nani anabeza? Hivi kwa akili yako hiyo yakuvukia Barbara unaonaje police kuwa na nguvu yakudhibiti maandamano ya Amani yasiyo na silaha na kushindwa kudhibiti majambazi au ugaidi wenye madhara kwa watu?

Mbona kwenye maandamano huonesha mbwembwe za silaha nzito then wanatetemeshwa na watu wanne tu?

Dhamana iliyopewa serikali kulinda usalama iko wapi ikiwa police wanasalimu amri kwa majambazi??



CCM na viongozi dhaifu ndio wanaoigharimu nchi kwakushabikia na kutenda upuuzi...

Mwigullu alionesha shupavu Sana wa kupambana na ugaidi na inaonesha aliutamani Sana mbona sasa anashindwa? Simnaweza kuwajua na kuwafichua magaidi mbona hawa mnawashindwa??

Teh!

Nikushauri upumzike kwanza. Ukiamka kesho, hope fahamu zitakurudi.

Kama kesho utakuwa na hayahaya unayoyasema, basi tumuombe Mungu waingie hao unaoamini watafanya zaid ya hawa waliopo(CCM).

Ki'roho safi tu mkuu.
 
Teh!

Nikushauri upumzike kwanza. Ukiamka kesho, hope fahamu zitakurudi.

Kama kesho utakuwa na hayahaya unayoyasema, basi tumuombe Mungu waingie hao unaoamini watafanya zaid ya hawa waliopo(CCM).

Ki'roho safi tu mkuu.



Ndio akili yako ilipoishia kupambanua?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mangatara

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.

Bomu la Olasiti kanisani Arusha mlimkamata muhusika yupi?

Bomu la Soweto Arusha kwenye mkutano wa CDM nyie wazee wa Kichaa Gonja mlimkamata nani?

Ulimboka alitekwa na majambazi wapi?

Lwakatare aliambiwa na haohao kina kichaa Gonja kwamba ni Gaidi hatari sana mpaka mbunge wako sasa ni Waziri mdogo akadiriki kusema ana ushahidi duniani na mbinguni kwamba Lwakatare ni Gaidi, ni nini kilitokea?
Nadhani mnajua wenyewe CCM na PoliCCM.

Leo hii utakuja kuniaminishaje wavaa yeboyebo eti wamewatoa polisi wako kijasho mpaka mkaenda kuita wanajeshi lkn magaidi yakakimbia yote.
Haya, hao askari majeruhi wako wapi? Kwanini hamtaki waandishi wa habari?
Huyo mwanausalama aliyekufa anazikwa wapi, lini?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom