Chagonja na sinema ya mwaka!

Chagonja na sinema ya mwaka!

....mh em fanya kufunguka zaidi kidogo...umeeleweka lakini inapendeza ukiweka nyama nyama...
 
Naikumbuka saana 1995. Wakambuni Mrema ili aue upinzani. Mrema kuona alivyo kubalika kwa sababu ya hasira ya wananchi kwa lichama hili, akawageuka. Almanusra achukue nchi. Kama sio kubadilishiwa tangazo la kura leo mambo yangekuwa mengine.

Sasa wameamua kubuni haya magenge mara sijui Panya road, mara sijui Al-shabab. Yote kutishia wazee wawape kura zao ati zimwi likujualo.

Mara hakuna daftari la wapiga kura. Tatizo ni kwamba, mwananchi wa leo kaamka, anajua anacho kitaka. Kuna siku, mtabuni magenge haya muwaambie wamlenge mtu kichwa nao wafanye kweli.

Siasa mbofu mbofu ziondoke kwetu jamani. Mnabadili mpaka Elim?? Miaka yoote 10 mlikuwa wapi mje kuamka leo bado siku 180?

Angalieni, mtatuletea balaa bure na hizi mbinu zenu.
 
Naitafuta taarifa ya POLISI kuhusiana na video clip iliyotolewa na Global TV Online siioni! zile taarifa zinasema POLISI wamekabidhiwa CD husika, kuna lolote wao wamesema?
 
mangatara

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.
 
Last edited by a moderator:
Wakumbuke "to every action there is an equal and opposite reaction" wanatengeneza magaidi wa kufeki ipo siku watakuja kuwadhulu wao wenyewe.
 
Ushirikiano upi wakati wao wenyewe kauli zao zinatofautiana. Huyu anasema bvile na yule anasema hivi? Kama kitu ni kweli kwanini wawe na kauli ambazo zinakinzana katika habari hii? Hakuna anayefanya ushabiki watu wanaandika ukweli kutokana na hawa polisi kudanganya umma wa Watanzania mara nyingi tu na ushahidi wa uongo wao upo wa kutosha.

Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.
 
Unajivamia,unajiteka,unajitorosha,unajisaka na hatimaye unatangaza kujitafuta kwa udi na uvumba.Matukio yote haya haya hayana majina ya waathirika.Kweli siasa zimefikia mahala pake!Tutashuhudia mengi 2015.

Mahakama kuu ilikataza neno ugaidi lisitumike ovyo ovyo kwa kuwa ni neno lenye madhara makubwa sana kwa nchi.Mahakama kuu ilitamka maneno hayo wakati wakimondolea mashitaka aliyekuwa nayo mkuu wa ulinzi na usalama wa CHADEMA, kama polis wali promoti ugaidi wenyewe kwa kudhani wana wakomoa CHADEMA kumbe wana prmoti ugaidi wenyewe bila kujua, sasa ngoja watalii watangaze kutokuja tanzania tuone itabidi polis wenyewe tena watangaze tanzania hamna magaid ni waalifu wa kawahida.
 
Hivi, kwa akiri ya kawaida tu mapambano ya polisi na hao wanaoitwa magaidi hakuna majeruhi wala vifo upande wa magaidi? mbona hili jeshi letu linataka kutugeuza watanzania kama matahila vile? wao waue, wajeruhi ila wao wsikamatwe hata mmoja na watumike mpka Jwtz?
 
Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.

Kati ya serikali na mwananchi nani anajukumu la kulinda usalama wa mwingine?
 
Duh, kweli Tanzania ni balaa. Magaidi wamejitokeza siku moja tu wameshambulia alafu wametokomea. Cha ajabu sasa, gaidi Kavaa yebo yebo! Mungu nipe uzima nizidi kuona mengi mwaka huu

Inshahllah!!!!
 
Kama kweli hii ni simema basi CCM wamefail pakubwa,wala sijiulizi sana kuhusu uwezekano wa hii habari kuwa kweli,ukiangalia panya road,kutekwa kwa dr ulimboka huku tukiambiwa ni majambazi, etc etc.After all,kwani kukiwa na tishio la ugaidi inanizuiaje mimi kupigia kura UKAWA?kwani CCM ndo wana kinga ya ugaidi?
 
Watu wameharibika akili na maadili, serikali ya wananchi kwa ajili ya wananchi haiwezi kuja na senema ya namna hii
 
Ccm bana maigizo kila kukicha. Mwenye akili akienda kufuatilia hayo matukio anaishia patupu. Wapi panyaroad? Wapi hao Alshabab? Wapi hao askari waliojeruhiwa?
 
Ninyi muishi tu kwa assumpitions hizohizo badala ya kustuka na kutoa ushirikiano kwa serikali,kalieni hayohayo kwamba ni mbinu zaCCM.

Tuombe uzima. Mtakiri tu kwamba ushabiki kama huo mnaoufanya hauna mantiki hata kidogo.

Take my words with a special regards. Nakuhakikishia jambo hilo.

kwa hiyo unatuhakikishia ugaidi utaendelea?tena unasisitiza kwa uchungu kabisa?sasa nakubaliana na akina Yericko kuwa hii ni planned issue.
 
hiwi hawa jamaa wanaongeaga ya le maneno yao ya taarab eti ccm itatawala miaka 1000, si wafanye kazi sasa, wanaforce kukaa madarakani kazi hawawezi, lame ducks, nawachukia sana
 
Back
Top Bottom