K kingtuma Member Joined Jan 15, 2011 Posts 88 Reaction score 10 Aug 15, 2011 #21 Wote wanaopinga uwezo wa cdm ni magamba yaleyale ila "uwike usiwike kutakucha"
CORAL JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 2,827 Reaction score 1,858 Aug 15, 2011 #22 ChiefmTz said: Mbona Mkoa wa Kilimanjaro hautoi misaada kwa Mikoa mingine? Click to expand... <br /> <br /> Unataka wauawe watanzania wengine wakati sherehe ya kukabidhi misaada itakapovamiwa na polisi kwa sababu za kiintelijensia?
ChiefmTz said: Mbona Mkoa wa Kilimanjaro hautoi misaada kwa Mikoa mingine? Click to expand... <br /> <br /> Unataka wauawe watanzania wengine wakati sherehe ya kukabidhi misaada itakapovamiwa na polisi kwa sababu za kiintelijensia?