Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,185
- 43,263
Wanaukumbi,
Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.
Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.
Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.
Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.
Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.
Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.
Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
