CHADEMA yetu ya mabadiliko ipo wapi?

CHADEMA yetu ya mabadiliko ipo wapi?

Wasipokuwa makini yatakuwa yale yale ya kulishwa matango poli kuwa nyie pigeni kura kisha tazilinda mwenyewe...daaah
Mwaka huu lazima ukubali kuramba miguu kama kina Waitara labda utapewa kanafasi maana ubunge ndiyo hivyo tena
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Hongera kwa kumaliza utumishi wa jela salama. Miaka minne si mchezo!
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Sababu ni Jiwe,anawanunua,wakikataa anawapiga risasi
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Chadema imefungwa hawaruhusiwi kufanya mikutano ya aina yoyote wewe unataka uwaone wapi?
Demokrasia ya Tanzania imebakwa hakuna uhuru wa kujieleza hakuna ukweli taifa limebaki la watia nia
 
CHADEMA wenyewe wanasema wameimarika kuliko zaid katika hiki kipindi hiki cha chattle jesus.Tusubiri tuu kipenga kipulizwe halafu watu wakutane uwanjani.
 
Kuna kipindi mlisema mtachukuwa nchi kwa maandamano nchi nzima mlikwama wapi.
 
Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.


JIBU:
Bunduki kuwaua,kuwakamata kwa kesi za kusingiziwa,kuwateka,kuwapoteza,kuwafanyia kila hila na hujuma haya ndo matokeo yake.Uzuri ni kwamba watu wanajua na wanaelewa,watanzania si wajinga.Wasidhani wameshinda na wanapendwa la hasha.Siki zaja.
 
Wanaukumbi,

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020. Sioni ile nguvu ya Chadema iliyokuwa nayo miaka kumi iliyopita, Chadema ya mabadiliko, CHADEMA ya Maandamo kila kona.

Ni kitu gani kimetokea ndani ya Chadema, kinapoelekea naona kama kitakuwa kama TLP, naona wabunge wengi wanarudi CCM na wafuasi wao bila hamna tena mshikamano wa maandamano wala matamko ambayo tulikuwa tumeyazoea.

Viongozi wa juu ebu jitokezeni kuweka sawa hili jambo, naona hata wafuasi wa Chadema humu JF wamekata tamaa hawajui nini cha kufanya.

Hivi kweli kwa hili kuna matumaini tena ya kuwa chama kikuu cha upinzani au kuchukuwa dola?
Chadema yako na nani?
Tangu lini wewe uko Chadema?
 
Chadema imefungwa hawaruhusiwi kufanya mikutano ya aina yoyote wewe unataka uwaone wapi?
Demokrasia ya Tanzania imebakwa hakuna uhuru wa kujieleza hakuna ukweli taifa limebaki la watia nia
Taifa lipo kwenye mapito
 
Huyo Ritz ameamua makusudi kuleta uzi huu ili kutafuta kiki baada ya kutoka msogani
Kinachotakiwa ni tume Huru na observers wa nje hakuna kingine. Sauté za Chadema zitasikika tu kuwe ama kusiwe na vyombo na systems huru?
 
Jamaa itakua amekumbukwa kwenye teuzi hizi za hasira za replecement
 
Back
Top Bottom